Kocha mpya Simba apitishwa, Matola aguswa

WAKATI wowote kuanzia leo Simba itamtangaza kocha mpya wa kigeni, atakayekuja kuchukua mikoba ya Dimitar Pantev aliyeachana na klabu hiyo kwa makubaliano ya pande hizo mbili, huku akiachiwa msala wa kufanya usajili dirisha dogo baada ya kukisoma kikosi kilivyo. Simba imekuwa ikisimamiwa na Seleman Matola anayekaimu ukocha mkuu kwa sasa tangu aondoke Pantev aliyetambulishwa kama…

Read More

Madhila anayopitia kijana mwenye jinsi tata

Dar es Salaam. Alizaliwa akionekana msichana. Hati zake zote za utambulisho zikaandikwa majina ya kike na jinsia ya kike. Lakini tangu akiwa na umri wa miaka mitatu, hakuwahi kujihisi hivyo wala kuona nafsi yake ndani ya nafasi ya kike aliyopewa. “Nilijiona na kujihisi kabisa kama mwanaume ingawa maumbile yangu yalikuwa tofauti,” anaanza kusimulia kijana huyo…

Read More

Madhara ya kamari kidini na kidunia

Hakika miongoni mwa rehema za Allah kwa waja wake ni kuwaridhia dini ya Uislamu kuwa sharia yao—dini iliyoleta kila jambo lenye manufaa kwa binadamu katika maisha ya dunia na Akhera. Allah Mtukufu amesema: “Leo nimekukamilishieni dini yenu, na nimetimizia neema Yangu juu yenu, na nimeridhia Uislamu uwe dini yenu..” [5:3]. Mafundisho ya Uislamu aliyoyaweka Allah…

Read More

Dk Mwigulu: Sensa mali za watumishi wa umma inakuja

Dodoma. Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amewataka viongozi wa umma kujiandaa kwenye sensa ya kila mtu kutaja mali zake na namna alivyozipata itakayofanyika kwa nchi nzima. Dk Mwigulu ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Desemba 11, 2025 wakati akizungumza na viongozi wa Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, ikiwa ni sehemu ya ziara zake kwa…

Read More

Safari ya mwisho ya Jenista itakavyokuwa, kuzikwa Desemba 16

Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Desemba 16, 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani Ruvuma. Jenista ambaye amekuwa mbunge wa Peramiho kuanzia mwaka 2005, amefariki dunia jana Alhamisi, Desemba 11, 2025 jijini Dodoma. Ratiba ya mazishi yake iliyotolewa usiku huu wa Alhamisi na uongozi wa Bunge, inaonesha…

Read More

SERIKALI YALETA NEEMA KWA WAKULIMA WA KOROSHO

Waziri wa Kilimo, Mhe. Daniel Chongolo (Mb) amefanya ziara ya kikazi mkoani Mtwara tarehe 11 Desemba 2025 na kutoa salamu za Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa “Serikali itaendelea kuwapunguzia mzigo wakulima wa Korosho kwa kuwa na uhakika wa pembejeo za kilimo.” Waziri Chongolo ameongeza kuwa Serikali itahakikisha Korosho zote ghafi zinazosafirishwa zitumie Bandari…

Read More