Bioteknolojia Yazalisha Protini Mbadala Kupunguza Gharama za Ufugaji
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV SEKTA ya kilimo na ufugaji nchini imepata suluhisho jipya kupitia teknolojia ya bayoteknolojia, baada ya kampuni ya Novfeed Ltd yenye makao yake jijini Dar es Salaam kuzindua ubunifu wa kipekee wa kuzalisha protini mbadala kutokana na bakteria wanaopatikana ardhini, maarufu kama Single Cell Protein (SCP). Teknolojia hii inalenga kusaidia wajasiriamali…