Historia inawabeba, Simba katika hili itavuka

KESHOKUTWA Jumapili, Simba itacheza mchezo wa marudiano wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika mchezo huo, Simba itakuwa chini ya kocha mkuu wa mpito, Hemed Morocco ambaye ameazimwa kutoka Taifa Stars ili ainoe Simba kutokana na changamoto ambayo imeikuta hivi…

Read More

Mabaharia wa Zenji waliamsha Afrika

MABAHARIA wa Zanzibar, KMKM inakuwa klabu ya kwanza ya Tanzania kutupa karata katika mechi za marudiano ya michuano ya CAF wakati jioni ya leo itakapoikabili AS Port ya Djibouti kwenye Uwanja wa New Amaan, visiwani Zanzibar. KMKM ilianza vyema michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa kushinda mabao 2-1 ikiwa wageni wa AS Port licha…

Read More

Abbas anakataa shambulio la Hamas, anahimiza ulimwengu kutambua hali ya Palestina – maswala ya ulimwengu

Akiongea kupitia video, alisema zaidi ya Wapalestina 220,000 walikuwa wameuawa au kujeruhiwa kwa karibu miaka miwili ya mapigano – wengi wao wanawake, watoto na wazee, wakati watu milioni mbili walikuwa wanakabiliwa na njaa chini ya kizuizi. Zaidi ya asilimia 80 ya nyumba za Gaza, shule, hospitali, makanisa, misikiti na miundombinu zilikuwa zimeharibiwa, ameongeza. “Kile Israeli…

Read More