Ukame unavyozua hofu ya uhaba wa chakula nchini

Dar es Salaam. Tanzania inatabiriwa kukumbwa na hali ya ukame. Hali hiyo itaathiri uzalishaji wa chakula na kutishia kuliingiza Taifa katika uhaba wa chakula. Hiyo ni kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), iliyotabiri baadhi ya mikoa kukumbwa na mvua za chini ya wastani na wastani, na vipindi virefu vya ukavu. Mamlaka…

Read More

Kanuni mpya kitanzi kwa madereva zaja, wenyewe wasema…

Dar es Salaam. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazotokana na uchovu wa madereva, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imekuja na kanuni zitakazowabana madereva wa magari ya kibiashara. Rasimu ya Kanuni za Usimamizi wa Hatari ya Uchovu kwa Madereva, 2025, inaweka wazi viwango vya saa za kuendesha kwa siku na kwa wiki, pamoja na…

Read More

Maofisa Uhamiaji watatu kunyongwa kwa mauaji

Kigoma. Yametimia! Ni maneno unayoweza kuyatumia kuelezea hukumu ya Mahakama Kuu kwa waliokuwa maofisa watatu wa Uhamiaji, kuhukumiwa adhabu ya kifo kwa kumuua Mtanzania waliyemshuku sio raia wa Tanzania. Waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa ni Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu ambao wamepatikana na hatia ya kumuua Enos Elias, ambaye ni mkazi wa Kakonko mkoani…

Read More

Rais Samia: Tusikubali jeshi kuchafuliwa

Dar es Salaam. Rais na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan, amelitaka Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), kutokubali kuchafuliwa wala kumuacha au kumlinda mtu yeyote mwenye cheo kikubwa au kidogo kukigeuza chombo hicho kuwa cha mashinikizo ya siasa. Rais Samia amesema jeshi ni chombo tofauti na siasa, iwe Mwana-CCM, Mwana-Chadema au chama kingine…

Read More

Malale aibukia KVZ, aanza na Mlandege

KLABU ya KVZ inayoshiriki Ligi Kuu Soka Zanzibar, imemtambulisha Malale Hamsini kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, huku ikielezwa anakwenda kuongeza nguvu kwa kushirikiana na Ali Khalid Omar. Katika taarifa yao, KVZ imesema: “Karibu nyumbani kwa mabingwa kocha Malale Hamsini.” Malale ametua KVZ baada ya Novemba 30, 2025 kusitishiwa mkataba kwa makubaliano ya pande mbili…

Read More

Türk alaani shambulio ‘la kuchukiza’ huko Sydney, mkuu wa UNHCR atoa wito kwa mshikamano na wakimbizi, Ukraine hivi punde – Masuala ya Ulimwenguni

Volker Türk alisema ufyatuaji risasi “mbaya” uliolenga sherehe ya Hannukah kwenye Ufuo wa Bondi ulifichua tena kwamba “chuki dhidi ya Wayahudi ni ya kweli, na ni ya kuchukiza.” Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese alisema kwamba mauaji hayo yamechochewa na “itikadi kali”. Watu wanaodaiwa kufyatua risasi waliotajwa kama Sajid Akram, 50, na mwanawe Naveed, 24,…

Read More

ALUMANUS AWATAKA WADAU MBOZI KUHAMASISHA MICHEZO/ACHANGIA MIPIRA SHULE YA MSINGI WASA

::::::::::: Wadau wa michezo wamehamasishwa kuendelea kuunga mkono sera ya michezo mashuleni hususani katika maeneo ya vijijini ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wanajifunza kwa nadharia na vilevile wanapata muda wa kufanya michezo ili kuibua vipaji na kuimarisha afya zao Rai hiyo imetolewa Wilayani Mbozi mkoani Songwe na Julius Mkwesera wakati akikabidhi mipira miwili kwa niaba ya…

Read More