GCAP YAISHAURI SERIKALI KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUTEKELEZA SDGS
:::::::::: Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Mtandao wa GCAP Tanzania umetoa wito kwa Serikali, asasi za kiraia, sekta binafsi na mashirika ya kimataifa kuchukua hatua madhubuti na jumuishi kutekeleza Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa vitendo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mjumbe wa GCAP kutoka shirika la Dayspring Foundation,…