Mke adaiwa kujiteka, akishinikiza mume kulipa Sh10 milioni

Mwanza. Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Kisile (30), mkazi wa Mtaa wa Temeke, jijini Mwanza akituhumiwa kutoa taarifa za uongo kwa askari, ndugu, jamaa na marafiki kuwa ametekwa. ‎Anadaiwa kutoa taarifa kwa mume na ndugu zake kwamba ametekwa na watu watatu waliotaka Sh10 milioni ili wasimdhuru na kuondoa ujauzito aliokuwa nao. Kamanda wa Polisi…

Read More

Jumuiya ya Kimataifa kuweka misingi ya utawala wa AI unaohitajika haraka – maswala ya ulimwengu

Uwekezaji, Matarajio na Wasiwasi: Hizi ni tatu kati ya madereva makubwa ya kupendeza katika akili ya bandia na athari zake. Kwa sababu changamoto na fursa ni za ulimwengu, majibu pia yanahitaji kuwa kamili zaidi kuliko suluhisho zilizogawanyika na zilizopigwa ambazo zimetungwa hadi sasa: a Ripoti ya UN kutoka 2024 iligundua kuwa nchi 118 hazikuwa vyama…

Read More

Mwanamama mdau wa Usafiri wa Anga Tanzania Atambuliwa Katika Mkutano wa 42 wa ICAO

  Sekta ya anga ya Tanzania imepata kutambulika kimataifa wiki hii wakati Bi. Rosemary Kacungira, Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Equity Aviation, alipoheshimiwa katika Mkutano wa 42 wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) unaoendelea Montreal, Canada. Bi. Kacungira alionyeshwa katika heshima maalumu ikionesha mafanikio yake wakati wa Kikao cha Ufunguzi cha Mkutano,…

Read More

MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…

Read More

Samia: CCM ndiyo italinda na kuinua utu wa Mtanzania

Lindi. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesema hakuna chama kitakachoweza kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama chama chake, hivyo ifikapo Oktoba 29 wananchi hawapaswi kufanya makosa. Samia ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jimbo la Mchinga ambapo pamoja na kuomba ridhaa ya urais  alimnadi mgombea ubunge wa jimbo…

Read More

Wanafunzi NM-AIST wabuni roboti la ukaguzi viwandani

Arusha. Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), wamebuni roboti lenye uwezo wa kukagua chupa za vinywaji katika mchakato wa uzalishaji viwandani. Mashine hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Profesa Anaeli Sam, Dk Judith Leo na Jared Nganyi, inafanya kazi kwa mfumo wa kunyanyua na kushusha, ikiwa na mkono wa roboti…

Read More