Kila kaya mkoani Dodoma sasa kupanda miti miwili ya tufaa (apple) kujikimu kiuchumi
Dodoma. Ili kuinua kipato cha wakazi wa Dodoma, mkoa huo umetambulisha kilimo kipya cha zao la kibiashara la tufaa (apple) ambapo kila kaya itatakiwa kupanda miche miwili au zaidi kwa ajili ya kujiongezea kipato kupitia zao hilo. Mti wa tufaa huanza kuzaa matunda unapofikisha miaka miwili ambapo mti mmoja uliotunzwa vizuri una uwezo wa kuzaa…