Ouma aisikilizia Mapinduzi Cup 2026

BAADA ya mapumziko ya wiki moja, kikosi cha Singida Black Stars kinaingia tena kambini Desemba 14, huku kocha msaidizi wa timu hiyo, David Ouma akieleza mikakati mipya, kabla ya kurejea katika mechi za ushindani kuanzia Januari mwakani. Kikosi hicho kinarudi tena kambini ikiwa ni wiki moja imepita tangu ichapwe mabao 3-1 na TRA United zamani…

Read More

Idd Nado awapiga bao Dube, Kagere

KIUNGO wa Azam, Idd Seleman ‘Nado’ amempiku aliyekuwa nyota mwenzie wa kikosi hicho aliyepo Yanga kwa sasa, Prince Dube na mshambuliaji wa zamani wa Simba, Meddie Kagere ya kufunga mabao mengi zaidi katika mechi ya ‘Mzizima Derby’ tangu mwaka 2020. Bao alilofunga Nado katika ushindi wa timu hiyo wa mabao 2-0 dhidi ya Simba, Desemba…

Read More

Fedha kwa mashirika ya haki za binadamu – pamoja na katika kiwango cha chini – zimepigwa marufuku ulimwenguni – maswala ya ulimwengu

Haki za binadamu ni nzuri, muhimu na zinapatikana. | Picha: Kutoka kushoto kwenda kulia: UN/Harandane Dicko, © Nurphoto, © Betul Simsek, Ohchr Moldova Mikopo: Umoja wa Mataifa Maoni na Volker Türk (Geneva) Alhamisi, Desemba 11, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Geneva, Desemba 11 (IPS) – Haki za binadamu zinafadhiliwa, zinadhoofishwa na zinashambuliwa. Na bado….

Read More

Wananchi, CCM wanavyomlilia Jenista Mhagama Peramiho

Songea. Huzuni na vilio vimetawala kwa wananchi wa Jimbo la Peramiho mkoani Ruvuma kutokana na mbunge wao, Jenista Mhagama kufariki dunia leo Alhamisi Desemba 11,2025 jijini Dodoma. Wananchi hao wamesema wamepokea kwa masikitiko kifo cha Mhagama, huku wengine wakisema taarifa hiyo imewachanganya kwa sababu mbunge huyo alikuwa kiongozi hodari, mzalendo na mchapakazi. Wakizungumza na Mwananchi…

Read More

Kijana mkora wa miaka 17 alivyomuua mlinzi Lake Oil

Mwanza. Ni tukio linalofikirisha, pale kijana Method Meshack alipotiwa hatiani na Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza, kwa kosa la kumuua mlinzi wa kituo cha mafuta cha Lake Oil mkoani Mwanza, alilolitenda akiwa na umri wa miaka 17. Awali kulijitokeza utata juu ya umri wake halisi wakati akitenda kosa hilo, akiwa pamoja na kundi la majambazi…

Read More

Waziri Sangu akutana na Menejimenti ya PSSSF

Waziri wa NchI Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti pamoja na baadhi ya Watumishi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), leo Desemba 10, 2025, jijini Dodoma. Mazungumzo hayo ni sehemu ya mwendelezo wa mikutano yake na…

Read More

KAMPENI YA ‘VUNA NA MIXX’ YAWAKOMBOA WAKULIMA WA KILOSA

Kilosa, Tanzania – Wakulima wa Wilaya ya Kilosa wamekabidhiwa zawadi mbalimbali ikiwemo pikipiki, baiskeli, simu janja na paneli za sola, ikiwa ni sehemu ya kampeni ya “Vuna na Mixx” inayolenga kutambua na kuhamasisha matumizi ya malipo ya kidigitali katika sekta ya kilimo. Hafla hiyo imehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Mheshimiwa Shaka Hamdu Shaka,…

Read More