Dk Nchimbi: Huduma za afya Kilolo zitaboreshwa
Kilolo. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema katika miaka mitano ijayo, wanakwenda kuboresha huduma za afya kuwa bora na za kisasa kwa wananchi wa Kilolo, mkoani Iringa. Wakati Dk Nchimbi akiahidi hayo, mgombea ubunge wa Kilolo, Ritha Kabati ameiomba Serikali kuliangalia kwa jicho la kipekee eneo la Mlima…