Mahakama yakataa zuio kesi ya Mpina, yaruhusu mubashara
Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu ya Dodoma imekataa ombi la mwanachama wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Luhaga Mpina, la kuzuia uchapishaji wa fomu za kupigia kura kwa nafasi ya urais. Mpina ametoa ombi hilo leo, Septemba 29, 2025, kupitia jopo la mawakili wake katika shauri lake la kikatiba la kupinga kuenguliwa…