DK.SAMIA:WANAWAKE WANA UWEZO MKUBWA KUONGOZA TAIFA, TUSHIKAMANE

Na Said Mwishehe,Michuzi TV- Serengeti MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Wanawake wanauwezo mkubwa wa kuongoza taifa katika nafasi mbalimbali tofauti na baadhi ya watu wanaodhani kwamba wanaoweza ni wanaume peke yao. Dk.Samia ameyasema hayo leo Oktoba 10,2025 mbele ya maelfu ya wananchi wa Wilaya ya Serengeti mkoani Mara alipokuwa…

Read More

TUMEJIANDAA VYEMA KUDHIBITI UHALIFU NA WAHALIFU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU- POLISI

::::::: Jeshi la Polisi nchini Tanzania kupitia msemaji wake DCP David Misime limesisitiza kuhusu matumizi sahihi ya mitandao ya Kijamii pamoja na ulinzi wa amani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi Mkuu wa Tanzania, akibainisha kuwa Jeshi hilo limejipanga kikamilifu kushughulika kikamilifu na wote watakaohatarisha amani ya nchi. Msemaji huyo pia ameonya kuhusu wanaotumia mitandao…

Read More

Hukumu kesi ya Mpina yaahirishwa, sababu zatajwa

Dodoma. Mahakama Kuu Masijala Kuu Dodoma imesogeza mbele hukumu ya kesi ya Luhaga Mpina dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na sasa itasomwa Oktoba 15,2025. Mwenyekiti wa jopo la majaji watatu wanaosikiliza kesi hiyo Jaji Fredrick Manyanda ametaja sababu kuu mbili zilizopelekea kuahirishwa kwa kesi hiyo ambazo kwamba majaji wanaendelea kutafakari na…

Read More

WAZEE WAASWA KUHAMASISHA JAMII KUJITOKEZA KUPIGA KURA

:::::::: Wazee wa Mkoa wa Dodoma waaswa kuhamasisha jamii kujitokeza Oktoba 29,2025 kupiga kura pamoja na kuhakikisha wanasimamia vijana na kuwasihi kulinda amani ya nchi yetu. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule wakati akizungumza na Wazee hao leo Oktoba 09 juu ya umuhimu wao wa kuhamasisha jamii kujitokeza kupiga kura. Aidha…

Read More

Pacome ampiga benchi Andigra akianza Ivory Coast

KIUNGO wa Yanga, Pacome Zouzoua amepangua kikosi cha kwanza cha timu yake ya taifa ya Ivory Coast, akianza huku akiwaacha nje mastaa wakubwa. Pacome ambaye ni mara ya pili anaitwa kwenye kikosi cha Ivory Coast katika kikosi hicho kinachoanza ni mchezaji pekee anayecheza Afrika amepata nafasi ya kuanza, huku akimsugulisha benchi staa wa Sunderland, Simon…

Read More

Samia: Tumetimiza ndoto za Mwalimu Nyerere

Mara. Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imefanikiwa kutimiza ndoto za Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwa vitendo kupitia miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo mradi wa kufua umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere (JNHPP). Amesema Serikali ya chama hicho imeendeleza na kukamilisha miradi hiyo…

Read More

Wanawake katika mtego matumizi ya ‘vipako’

Dar es Salaam. Video na picha watu maarufu na wenye ushawishi zimegeuka mwalimu mpya wa urembo, hali inayosababisha wanawake wengi kuangukia kwenye uraibu wa vipodozi. Kila uchao wakihangaika kununua bidhaa mpya za ngozi zinazotangazwa wakiamini ndizo tiketi ya kuwa na ngozi laini, ang’avu na yenye mvuto. Kile kinachoitwa ‘skin care routine’ yaani utaratibu wa kila…

Read More