BARRICK BUZWAGI YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA KUSAIDIA JAMII NA YENYE KULETA MAENDELEO ENDELEVU
Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akizungumza alipofanya ziara kwenye mradi ujenzi wa chujio la maji ya mvua linalojengwa katika Kata ya Mwendakulima unaotekelezwa kwa ufadhili wa Barrick Buzwagi kwa ushirikiano na Serikali. Naibu Meya wa Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga, Shaban Mikongoti (aliyevaa suti ya bluu),akipata maelezo…