Mnigeria aongeza mzuka Mtibwa Sugar

BEKI wa kati wa Singida Black Stars, Mnigeria Victor Chukwuemeka Collins amejiunga na Mtibwa Sugar kwa mkopo wa mwaka mmoja, huku kocha wa kikosi hicho, Awadh Juma ‘Maniche’, akieleza ataongeza ushindani na nyota wengine waliopo kikosini. Collins aliyezaliwa Novemba 2, 2024, katika mji mkuu wa jimbo la Enugu, Nigeria, amejiunga na Singida dirisha kubwa la…

Read More

Stand United yaja na tamasha kusaka mdhamini

Tamasha la Siku ya Wana linatarajiwa kufanyika 0ktoba 04, 2025 likiambatana na michezo mbalimbali, ikiwemo mechi nne za mwanzo huku Stand United ikikabiliana na timu ya Ligi Kuu Bara itakayotajwa hapo baadaye. Akizungumza na vyombo vya habari leo Septemba 25, 2025, mwenyekiti wa tamasha hilo, Chrispin Kakwaya, amesema: “Timu ya Stand United inaadhimisha Tamasha la…

Read More

Makambo ampa mzuka Fabrice Ngoy

NYOTA wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kucheza timu moja na mshambuliaji mwenzake raia wa DR Congo, Heritier Makambo kunampa motisha kuhakikisha anaendelea kupambana katika kikosi cha kwanza, kila anapopata nafasi uwanjani. Kauli ya Ngoy inajiri baada ya kuongezewa washambuliaji wengine akiwemo Makambo aliyewahi kuichezea Yanga na msimu uliopita alicheza Tabora United (kwa sasa TRA United)…

Read More

Ukosefu wa chakula unaongezeka barani Afrika, ukianguka Amerika ya Kusini na Karibiani – maswala ya ulimwengu

Kuna kupungua kwa wastani kwa njaa tangu 2022. Wakati maendeleo yanaonekana katika Asia na Amerika Kusini, njaa inaongezeka barani Afrika na Magharibi mwa Asia. Mikopo: Joyce Chimbi/IPS na Joyce Chimbi (Nairobi) Alhamisi, Septemba 25, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Septemba 25 (IPS) – Ripoti ya Usalama wa Chakula na Lishe ya 2025 ulimwenguni…

Read More

Wasira ataja ishara ya ushindi kwa CCM uchaguzi mkuu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema kuwa Watanzania wako tayari kwa uchaguzi na kwamba, idadi wanaoshiriki kwenye mikutano ya hadhara kusikiliza sera za wagombea ni ishara tosha. Ameyasema hayo leo Alhamisi Septemba 25, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni kunadi sera za chama hicho, ambapo alikuwa mgeni rasmi. Amesema mikutano…

Read More