Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Aipongeza Airtel Tanzania kwa kuchochea ujumuishwaji wa watu kidigitali na uwezeshaji wa jamii
Dar es Salaam, 10 Desemba 2025. WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angelina Kairuki, ameipongeza Airtel Tanzania kwa kuendelea kuongoza katika utoaji wa huduma bora za mawasiliano nchini, kuchangia mapato ya serikali na kutoa ajira kwa zaidi ya Watanzania 2,000. Pongezi hizo zimetolewa kufuatia ziara ya Waziri Kairuki katika ofisi za Airtel,…