Serikali Yatatuatua Changamoto za Wawekezaji KIP na Kutangaza Uwekezaji
*Kongani za Viwanda Ni Moyo wa Dira ya maendeleo ya 2050. Na Avila Kakingo, Michuzi Tv WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema kuwa ujenzi wa uchumi jumuishi unaozalisha ajira ndiyo msingi mkuu wa Dira ya Taifa 2050, na njia bora ya kulifikia lengo hilo ni kupitia ujenzi wa…