Sowah abanwa, yupo hatarini kufungoni

SIMBA kwa sasa inaugulia maumivu ya kipigo kutoka kwa Azam FC, lakini wakati wowote huenda maumivu  yanaweza kuongezeka kupitia mshambuliaji wake, Jonathan Sowah. Iko hivi. Wakati Simba inacheza dhidi ya Azam Desemba 7, 2025 na kukubali kipigo cha mabao 2-0, Sowah dakika ya 90+6 katika mechi ikiwa mwishoni alimpiga kiwiko kiungo wa Azam, Himid Mao….

Read More

SMZ yaeleza nafasi ya Kiswahili kidijitali

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema kwa sasa lugha ya Kiswahili inapaswa kuwa katika mfumo wa kidijitali na utafiti wa kisayansi ili kuendana na kasi ya teknolojia. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema hayo leo Jumanne Desemba 10, 2025 alipomwakilisha Rais Hussen Ali Mwinyi katika ufunguzi wa kongamano…

Read More

RC BABU AWATAKA WAGENI KUILINDA AMANI YA KILIMANJARO.

MKUU wa mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu amewataka wageni wote wanaowasili mkoani humo kwa ajili ya sikukuu za Christmas na Mwaka mpya kuhakikisha wanailinda amani ambayo wameikuta. Babu ametoa kauli hiyo leo alipozungumza na waandishi wa habari ambapo amesema kuwa, kwa sasa wameanza kupokea wananchi wengi wanaofanya shughuli nje ya mkoa ambapo kwa sasa wamerejea…

Read More

WATUMISHI WA MAENDELEO YA JAMII TUWAJIBIKE – MHE.MARYPRISCA

Na Jackline Minja WMJJWM-Dodoma. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka watumishi wa Kituo cha Huduma kwa wateja kuwajibika kwa kuwahudumia wananchi na kutatua changamoto zao. Mhe. Maryprisca ameyasema hayo leo tarehe 10 Desemba, 2025 alipotembelea kituo hicho ikiwa ni ziara ya kujifunza namna kinavyowahudumia wananchi….

Read More

Ndayiragije awapa nyota TRA United siku kumi

BAADA ya kuikanda Singida Black Stars kwa mabao 3-1 wachezaji wa TRA United wamepewa siku 10 za kupumzika kabla ya kurudi kujiandaa na mechi zijazo za Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na Kombe la Mapinduzi 2026. Kocha mkuu wa timu hiyo, Etienne Ndayiragije amewapa wachezaji hao mapumziko ya siku 10 akiwataka warudi kambini Desemba…

Read More

Kijana adaiwa kumbaka, kumjeruhi bibi yake

Mbozi. Obadia Mpenzu (22), mkazi wa Kitongoji cha Majimoto, Kijiji cha Nanyala, wilayani Mbozi, mkoani Songwe anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa kumbaka na kumjeruhi bibi yake mwenye miaka 80. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Songwe, Augustino Senga, amekiri kumshikilia mtuhumiwa. Akizungumza na Mwananchi, Mwenyekiti wa Kijiji cha Nanyala, Maneno Mwambunga, amesema tukio hilo lililotokea…

Read More

Mama adaiwa kuua mwanaye, kutupa mwili shambani

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Marry Timotheo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake, Scola Mwaba, kisha kutupa mwili wake shambani jirani na nyumba anayoishi. Mwamba (10) alikuwa mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Ngonde. Tukio la mauji linadaiwa kutokea  jana Desemba 9, 2025 saa 6:30 mchana katika Kijiji…

Read More

Ibenge achekelea rekodi mpya kwa Simba

SIMBA bado wanalaumiana kufuatia kipigo cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam FC, huku wenzao wanacheka tu na kumfanya kocha Florent Ibenge achekelee  kubadilisha mzimu wa matokeo mabaya dhidi ya Wekundu hao. Iko hivi. Ibenge hajawahi kuifunga Simba ikiwa Tanzania tangu aanze ukocha katika mechi za mashindano walizokutana. Rekodi zinaonyesha, Ibenge amewahi kukutana na Simba mara…

Read More