Upinzani wachukua nchi Malawi, Chakwera akubali kukabidhi madaraka
Lilongwe. Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera, amekubali kushindwa katika uchaguzi mkuu wa rais dhidi ya mpinzani wake wa karibu, Peter Mutharika, na ameahidi kukabidhi madaraka kwa amani. Katika hotuba yake kwa taifa mapema leo, Septemba 24, 2025, Chakwera amesema kulikuwa na ‘dosari’ na ‘hitilafu’ katika kuhesabu kura, lakini si kwa kiwango cha kuathiri ushindi wa…