MASHINDANO YA MPIRA WA KIKAPU YA MAKAMPUNI YA KICHINA NCHINI YANAJENGA MADARAJA YA KIBIASHARA

Stanbic yashiriki katika awamu ya 12 kuunga mkono uhusiano wa kina zaidi kati ya jumuiya za biashara za Kichina na Kitanzania.•  Mashindano haya yanaunganisha michezo, utamaduni na mtandao wa kibiashara, yakitoa mwanga wa kipekee juu ya mahusiano yanayokuwa kati ya wawekezaji wa Kichina na jamii za Kitanzania.• Stanbic inasaidia mashindano haya kama sehemu ya dhamira…

Read More

SMZ kuongeza ushirikishwaji watu wenye ulemavu

Unguja. Katika kutatua changamoto za watu wenye ulemavu, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetaja hatua inazochukua ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushiriki wao katika ngazi za uamuzi kutoka asilimia mbili za sasa hadi tano ifikapo mwaka 2030. Hayo yameelezwa leo Jumatano Agosti 20, 2025 na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman…

Read More

RAIS MWINYI AWASILI JIJINI DODOMA

………….. Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameondoka Zanzibar na kuwasili jijini Dodoma kushiriki katika vikao vya kikatiba vya Chama Cha Mapinduzi ngazi ya Taifa. Katika uwanja wa ndege wa Dodoma,  Rais Dkt.Mwinyi amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule na Viongozi…

Read More

Nishati safi yapunguza gharama Shule ya Nyamunga 

Mara.Shule ya Sekondari Nyamunga wilayani Rorya, Mkoa wa Mara imefanikiwa kupunguza gharama za matumizi ya nishati ya kupikia kwa asilimia 38 kila mwezi, kutoka Sh1.6 milioni hadi Sh1 milioni baada ya kuanza kutumia nishati safi ya kupikia. Mafanikio hayo yametajwa kuwa kielelezo cha namna jamii na taasisi zinavyoweza kupunguza gharama na kulinda mazingira iwapo zitaacha…

Read More

Kwa hili; kongole msajili wa vyama vya siasa

Agosti 18, 2025, Jaji Mutungi alifungua mafunzo kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa jijini Dar es Salaam yaliyofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere. Mafunzo hayo yaliwaleta pamoja viongozi na wadau wa siasa kujadili kwa kina Sheria ya Gharama za Uchaguzi. Lengo lilikuwa kuongeza uelewa wa namna sheria hiyo inavyotekelezwa ili…

Read More