ZEC yakaribisha maombi watakaohusika upigaji kura ya mapema

Unguja. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imekaribisha maombi ya wapigakura watakaohusika na upigaji kura ya mapema kwa kuzingatia vigezo vilivyoanishwa na Sheria ya Uchaguzi namba nne ya mwaka 2018. Kwa mujibu wa sheria hiyo, kifungu cha 82 (2), wapigakura hao ni wale wanaotekeleza majukumu yao ya uchaguzi wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi, msimamizi msaidizi wa uchaguzi,…

Read More

Watatu wajitosa kumrithi Mnguto Bodi ya Ligi

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) kupitia Kamati yake ya Uchaguzi limetangaza orodha ya awali ya wagombea waliorejesha fomu za kuwania nafasi mbalimbali katika uongozi wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), ambapo mchakato wa usaili unatarajiwa kufanyika Oktoba 15, 2025 jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya…

Read More

DKT. KALEMANI AMPIGIA CHAPUO MGOMBEA UBUNGE CHATO KUSINI

Katikati ni mgombea wa Ubunge Jimbo la Chato kusini, Paschal Lutandula ……………… CHATO ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Chato Dkt. Medard Kalemani, amewaangukia wananchi wa kijiji cha Kakeneno kata ya Nyarutembo akiwasihi kumuunga mkono mgombea wa Ubunge Jimbo la Chato Kusini, Paschal Lutandula, kwa madai ni hazina ya maendeleo iliyokuwa inasubiri muda kutimia. Mbali na…

Read More

Bado Watatu – 54 | Mwanaspoti

AKANIULIZA: “Lakini bado umesema wazi kwamba katika uchunguzi wako wa alama za vidole hukugundua kwamba mshitakiwa aliwaua hao watu?”“Uchunguzi mwingine ndio ulionyesha hivyo.”“Mimi nimekuuliza kuhusu uchunguzi wako wewe.”“Mimi sikugundua kama mshitakiwa aliua.”“Asante sana.”Wakili akakaa na kusema kuwa amemaliza maswali yake.Nikiwa nimekaa katika safu ya mbele karibu na meza za mawakili, nilijiambia kwamba wakati mwingine maswali…

Read More

Kwa Sowah fresh, Ahoua kazi anayo Simba

NAMNA ambavyo mshambuliaji wa Simba, Jonathan Sowah anavyoendelea kucheka na nyavu, imewafanya wataalamu wa soka kumuona ni mshambuliaji sahihi wa kikosi hicho ambaye atatoa ushindani mkubwa kwa mastaa wengine wa timu hiyo. Oktoba 9, 2025 kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Simba imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mechi ya kirafiki dhidi ya Al…

Read More

Lake Victoria Marathon kusaidia watoto njiti

Mashindano ya mbio za nusu marathoni za Lake Victoria (Lake Victoria Half Marathon 2025) yamefanyika juzi Jumapili huku Kampuni ya Mawasiliano ya  Simu za mkononi, YAS kwa kushirikiana na huduma za kifedha za kidijitali Mixx, imejitosa kuungana na wadau mbalimbali wa michezo katika kuunga mkono jitihada za kusaidia watoto njiti kama sehemu ya kuchangia maendeleo…

Read More

Mfumo wa afya wa Ulaya chini ya shida kwani madaktari na wauguzi wanakabiliwa na shida ya afya ya akili – maswala ya ulimwengu

Alama Uchunguzikufadhiliwa chini WHO/Mradi wa Ulaya na Tume ya Ulaya – sanjari na Siku ya Afya ya Akili ya Ulimwenguni – Alichambua majibu karibu 100,000 kutoka nchi 29, kutoka Oktoba 2024 hadi Aprili mwaka huu. Upataji muhimu ni kwamba madaktari na wauguzi wanafanya kazi katika hali ambazo zinaumiza afya zao za akili na ustawi-pia zinaathiri…

Read More

ALAF Yazindua Msimu wa Nane wa Ligi ya Soka

ALAF Limited, kampuni inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi nchini, leo imezindua rasmi msimu wa nane wa ligi yake ya mpira wa miguu ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kampuni hiyo wa kukuza afya bora miongoni mwa wafanyakazi. Ligi hiyo, ambayo imeshajizolea umaarufu mkubwa hadi sasa, itahusisha wafanyakazi wa ALAF kama wachezaji watakaounda timu tano…

Read More