Waasi DRC watumia droni kushambulia wakiuwa raia 100, maelfu wakikimbia makazi yao

DRC. Serikali ya Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) imekemea matumizi ya silaha za maangamizi, zikiwemo ndege zisizo na rubani za mashambulizi, ambazo inadai zimekuwa zikilenga raia katika maeneo mbalimbali ya Mashariki mwa nchi hiyo. Serikali imesema mashambulizi hayo yamesababisha vifo vya watu takribani 100, kujeruhi maelfu na wengine zaidi 200,000 kuhama makazi yao katika…

Read More