Dar es Salaam. Kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya kukabiliana na uvujaji mafuta baharini ya Desmi Africa imekuja na teknolojia mpya kukabiliana na changamoto hiyo
Year: 2025

Unguja. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita huku ufaulu wa jumla ukiwa asilimia 99.95 kwa watahiniwa 126,135 waliofanya mtihani,

• Biashara tatu bora za FinTech zachaguliwa kutoka kwa kumi bora waliofika fainali miongoni mwa maombi 94 yaliyopokelewa • Washindi watapata zawadi ya kifedha, msaada,

Unguja. Kutokana na utandawazi kuchukua nafasi kubwa katika maisha, Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amewataka vijana na jamii kuacha kutumia lugha za kigeni katika

Unguja. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar imezindua mwongozo mpya wa mikopo na ufadhili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), sambamba na

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha sita uliofanyika Mei 5 hadi 26, 2025. Matokeo hayo yametangazwa leo Jumatatu, Julai

Shinyanga/Mbeya. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu, amesema ili kupatikane amani na utulivu nchini, Serikali haina budi kuzingatia utendaji haki kwa makundi mbalimbali

Dar es Salaam. Katika hali ya sasa, ni wazi kuwa wazazi wengi wamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto wao. Nasema hivi kwa sababu

Canada. Kuna kisa cha mama mmoja aliyeukwaa uheshimiwa. Tulipata kisa hiki kwenye pitapita zetu kwenye taarifa za mitandaoni na kuthibitisha kuwa ilikuwa ni stori ya

Watoto huzaliwa wakiwa hawana maarifa, mitazamo wala tabia maalum. Wanapojifunza, huiga zaidi wanachokiona na kusikia kutoka kwa watu walioko karibu nao, hasa wazazi wao. Wazazi