Waislam wa Ahmadiyya kuliombea Taifa amani

Dar es Salaam. Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania imesema itafanya mkutano mkuu wenye lengo la kuchochea upendo miongoni mwa waumini na kuongeza huruma, unyenyekevu baina yao. Mkutano huo wa 54 wa mwaka (Jalsa Salana) utafanyika Septemba 26 hadi 28, 2025 katika viwanja vyao vilivyopo Kitonga, Kata ya Msongola, Manispaa ya Ilala, jijini Dar es…

Read More

Mgombea ubunge aahidi benki ya wafugaji Ngorongoro

Ngorongoro. Mgombea ubunge wa Jimbo la Ngorongoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yannick Ndoinyo, ameahidi kuanzisha benki ya wafugaji endapo atachaguliwa, ili kuwawezesha wakazi wa eneo hilo hasa wafugaji kupata huduma za kifedha kwa urahisi, ikiwemo mikopo yenye masharti nafuu. Mbali na hilo pia ameahidi kuanzisha kiwanda cha kusindika nyama ili wafugaji hao waweze kunufaika…

Read More

Mwalimu aahidi kujenga Kariakoo ndogo Nkasi

Nkasi. Ili kukuza uchumi wa wananchi wanaoishi maeneo ya mipakani na kuimarisha fursa za kibiashara kati ya Tanzania na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimeahidi kuanzisha soko la biashara la ‘Kariakoo ndogo’ katika Kijiji cha Kirando, wilayani Nkasi, Mkoa wa Rukwa endapo kitachaguliwa kuunda Serikali Jumatano ya Oktoba…

Read More

Simulizi ya mjane aliyetupiwa vitu nje Mikocheni

Dar es Salaam. “Kama shida ilikuwa hela, angesema marehemu mume wangu hakumlipa mimi ningejua namlipaje, lakini si kudai nyumba ni yake.” Ni kauli ya Alice Haule, mjane aliyefukuzwa kwenye nyumba anayodai ni yake iliyoko Mikocheni, Dar es Salaam, huku vitu vikitolewa nje. Akizungumza na Mwananchi katika mahojiano maalumu akiwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mwananyamala,…

Read More