
Rais mstaafu Sri Lanka atupwa sero kwa matumizi mabaya ya fedha
Idara ya Upelelezi wa Jinai (CID) nchini Sri Lanka imemkata aliyekuwa Rais wa zamani wa Taifa hilo, Ranil Wickremesinghe kwa madai ya matumizi mabaya ya fedha za Serikali. Wickremesinghe (76) amekamatwa baada ya kufika katika ofisi ya CID katika mji mkuu Colombo kutoa maelezo ya taarifa ya uchunguzi wa ziara yake ya London pamoja kuhudhuria…