NAPE ATOA UJUMBE MZITO KWA WATANZANIA KUHUSU MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tanga. MGOBMBEA ubunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Nape Nnauye amesema uamuzi wa Chama hicho kumpitisha Dk.Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Urais katika Uchaguzi mkuu mwaka huu hawajakurupuka na siyo Bahati mbaya bali wamejiridhisha anatosha,mzalendo na…