Dar es Salaam. Katika hali ya sasa, ni wazi kuwa wazazi wengi wamekuwa chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto wao. Nasema hivi kwa sababu
Year: 2025

Canada. Kuna kisa cha mama mmoja aliyeukwaa uheshimiwa. Tulipata kisa hiki kwenye pitapita zetu kwenye taarifa za mitandaoni na kuthibitisha kuwa ilikuwa ni stori ya

Watoto huzaliwa wakiwa hawana maarifa, mitazamo wala tabia maalum. Wanapojifunza, huiga zaidi wanachokiona na kusikia kutoka kwa watu walioko karibu nao, hasa wazazi wao. Wazazi

Dodoma. Utafiti uliofanyika miaka ya 1970 na mshunuzi nguli, Mary Ainsworth ulionesha kuwa msingi mkubwa wa changamoto nyingi za kitabia kwa watoto, ni kilio cha

Mara nyingi kwenye ndoa kumekuwa na malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wanaume, na malalamiko haya yanaelekezwa kwenye namna wake zao wanavyoishi au wanavyofanya.

Dar es Salaam. Mbali ya Kariakoo kuwa eneo lenye msongamano wa watu na vyombo vya moto kutokana na biashara zinazofanyika, kuna utandazaji holela wa nyaya

Dar es Salaam. Kuunganisha mapato ya wanandoa ni hatua ya kiuchumi inayolenga kufanikisha usimamizi wa pamoja wa rasilimali kwa ajili ya maendeleo ya familia. Ingawa

Dar es Salaam. Je, umewahi kusikia kuhusu soko la nyama choma la Kumbilamoto? Mie nimesikia habari zake kwa watu kadhaa, nikaweka mpango wa kuandaa mtoko

Shinyanga. Kurudi Chuo Kikuu kushika chaki na kubaki kuwa mwanachama mtiifu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ndiyo mipango waliyonayo wabunge wawili wa kuteuliwa, Profesa Shukurani

Katika jamii nyingi, upendo umezoeleka kuhusishwa moja kwa moja na uhusiano wa kimapenzi. Filamu, nyimbo, vitabu na mitandao ya kijamii huonyesha mapenzi ya wapenzi kama