Folz anahesabu saa Yanga, ishu ipo hivi

ZILE kelele za mashabiki wa Yanga kwamba hawamuelewi kocha wa timu hiyo, Romain Folz huku wakisisitiza wanataka aondoke kwani timu imepoteza utambulisho wa soka la kuvutia, jambo limekuwa jambo na muda wowote inaweza kutolewa taarifa kwa umma. Tangu kuanza kwa kelele hizo, kulikuwa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA ATOA MUELEKEO UZALISHAJI NGANO WILAYANI HANANG

 *Azungumzia mashamba yasiyoendelezwa… Shamba la Basutu utaratibu ni ule ule Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Manyara MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema mkakati wa Serikali katika miaka mitano ijayo ni kuiwezesha Wilaya ya Hanang mkoani Manyara iweze kuzalisha tani milioni moja ya ngano ifikapo mwaka 2030. Akizungumza leo Oktoba 3,2025 wilayani Hanang…

Read More

CCM kurudisha serikalini mashamba ya ngano Hanang

Katesh /Liwale. Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuimarisha kilimo cha ngano wilayani Hanang ili kufikia lengo la uzalishaji wa tani milioni moja ifikapo mwaka 2030. Amesema hilo litafanyika kwa kuyarudisha serikalini mashamba yaliyotolewa kwa wawekezaji lakini wakashindwa kuyaendeleza. Akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni leo Oktoba 3, 2025 katika…

Read More

DK.SAMIA AKOSHWA NA MAENDELEO YALIYOPATIKANA HANANG AKIOMBA KURA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Manyara MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amefurahishwa na maendeleo makubwa ya yaliyofanyika  kwa wananchi wa Wilaya  ya Hanang mkoani Manyara katika sekta za maendeleo ya jamii maji, umeme, elimu na afya pia yamefanyika na maeneo mengine ya Tanzania nzima. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi…

Read More

Huyu ndiye Dimitar Pantev, kocha mpya Simba

Ndani ya muda mfupi kuanzia sasa, Simba itamtambulisha Dimitar Pantev kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco. Pantev ana umri wa miaka 49, alizaliwa Juni 26, 1976, jijini Varna huko Bulgaria na ni raia wa nchi hiyo. Kocha huyo ana leseni ya juu ya…

Read More