
Folz anahesabu saa Yanga, ishu ipo hivi
ZILE kelele za mashabiki wa Yanga kwamba hawamuelewi kocha wa timu hiyo, Romain Folz huku wakisisitiza wanataka aondoke kwani timu imepoteza utambulisho wa soka la kuvutia, jambo limekuwa jambo na muda wowote inaweza kutolewa taarifa kwa umma. Tangu kuanza kwa kelele hizo, kulikuwa…