Moto wateketeza ghorofa Kariakoo, wafanyabiashara wahaha

Dar es Salaam. Moto mkubwa uliozuka leo Jumatatu Septemba 22, 2025, katika jengo la ghorofa saba lililopo Mtaa wa Narung’ombe, Kariakoo, umesababisha taharuki kubwa miongoni mwa wafanyabiashara na wamiliki wa stoo zilizohifadhi bidhaa mbalimbali. Moto huo ulianza saa 10 jioni baada ya wafanyabiashara kushuhudia moshi ukitokea katika ghorofa lililokuwa na shehena ya bidhaa. Miongoni mwa…

Read More

Maandamano ya TLS yayeyuka, polisi wapiga kambi makao makuu

Dar/Mikoani. Maandamano ya mawakili wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) yaliyopangwa kufanyika nchi nzima leo Septemba 22, 2025 kupinga kushambuliwa kwa wakili Deogratius Mahinyila, yameyeyuka huku Jeshi la Polisi likiweka kambi kati ofisi za chama hicho. Maandamano hayo yalichochewa na tukio la Septemba 15, 2025 wakati kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Read More