Kampuni ya Nazneen Handling yakabidhi mashine Chuo cha VETA
Mkurugenzi wa Kampuni ya Nazneen, Hafeezali Gangji (wapili kulia) akikabidhi mfano wa funguo ya mtambo wa kuchanganyia zege,Zulfiqar zaky (katiakti) Dar es Salaam baada ya kununua mtambo huo kwenye maonesho ya 26 ya Buld Expo 2025. Kushoto ni Mohammed Kassam, Mkurugenzi wa Mauzo wa kamapuni hiyo, Niranjani Bandi na Nazia Gangji. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni…