Kwa nini muhimu mwanamke kuchunga usafi maliwatoni

Nairobi. Wanawake wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu zao  za siri Hii ni kutokana na desturi ya walio wengi kutozingatia usafi wakiwa maliwatoni au wanapokwenda haja. Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofaa kuzingatiwa. Ikumbukwe wanaposhindwa kudumisha usafi, athari zifuatazo zinaweza kujitokeza kama…

Read More

VODACOMA TANZANIA YAFIKA SOKO LA MACHINGA DODOMA NA KUTOA ZAWADI ZA MAKAPU KWA WATEJA WAKE

Katika muendelezo wa kusambaza Kapu la Vodacom kwenye maeneo mbalimbali nchini, timu ya Vodacom Tanzania Plc imefika Soko la Machinga Dodoma na kuwapatia wateja wake zawadi za makapu yaliyo sheheni vitu lukuki. Zoezi hili linaendeleza utoaji wa makapu ambao tayari umefanyika katika mikoa ya mbalimbali hapa nchini. Hatua hii inaonyesha utayari wa Vodacom kurudisha shukrani…

Read More

Jinsi Muswada wa Watoto wapya na Watoto wa Afya ya Mtoto unaweza kutoa chanjo ya Afya ya Universal – Maswala ya Ulimwenguni

Wafanyikazi wa afya huhudhuria kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha katika ziara ya kuwafikia wanaoungwa mkono na UNFPA katika kaunti ndogo ya Loima. Mikopo: UNFPA/Luis Tato Maoni Na James Nyikal, Margaret Lubaale na Anne-Beatrice Kihara (Nairobi, Kenya) Ijumaa, Desemba 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Kenya, Desemba 12 (IPS) – Kwa wanawake katika kazi…

Read More

Mkandarasi apewa siku 36 kukamilisha Daraja la Mkuyuni

Mwanza. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amempa siku 36 mkandarasi Jasco Co. Ltd anayejenga Daraja la Mkuyuni lililopo mkoani Mwanza kumaliza ujenzi huo kuanzia leo Desemba 11, 2025 hadi Januari 15 mwakani atakaporudi kulizindua. Maagizo ya Ulega yamekuja zikiwa zimepita siku chache tangu Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kumuelekeza kukutana na kumuuliza mkandarasi huyo anamaliza…

Read More

DC KASILDA AWACHARUKIA WACHIMBAJI WA MADINI YA JASI.

Na Mwandishi Wetu SAME. MKUU wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni ametangaza msimamo mkali kuhusu uchimbaji wa madini ya jasi unaoendelea katika eneo la Makanya, akiagiza hatua za haraka zichukuliwe kwa kufukia mashimo yaliyotelekezwa ili kurejesha mazingira na kuimarisha usalama wa wananchi na mifugo. Kasilda ametoa maagizo hayo wakati wa ziara yake katika machimbo ya…

Read More

SERIKALI MUIKUMBUKE TIMU YA TAIFA YA NGUMI YA TANZANIA ILI KUIPA PONGEZI KWA HESHIMA WALIYOIWEKA PALE KENYA

:::::::: Itakumbukwa kwa mara ya kwanza katika historia ya sekta ya michezo nchini Tanzania ilifanikiwa kuandika historia ugenini ambapo timu ya Taifa ya ngumi ya Tanzania maarufu kama Faru Weusi ilishinda medali 18 katika mashindano ya ngumi barani Afrika.  Tanzania ilifanikiwa kupata medali moja ya dhahabu, nne za fedha na za shaba 13 pia Tanzania…

Read More