Morocco: Haikuwa rahisi, lakini tulipambana!

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, amesema udhaifu katika kutumia vizuri nafasi walizotengeneza ndiyo sababu ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Morocco. Hata hivyo, kocha huyo anajivunia namna wachezaji walivyopambana hadi kufikia hatua ya robo fainali ikiwa ni mara ya kwanza kwa Tanzania kufanya hivyo kwenye michuano inayosimamiwa…

Read More

Gwalala kutimkia Mbeya City | Mwanaspoti

KIUNGO wa zamani wa Coastal Union, Greyson Gwalala yupo katika hatua ya mwisho kumalizana na Mbeya City iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu Bara msimu ujao 2025-2026. Gwalala anaungana na Ame Ally aliyetua Mbeya City akitokea Mashujaa, Yahya Mbegu (Singida Black Stars), Habib Kyombo aliyekuwa akiitumikia Pamba Jiji kwa mkopo akitokea Singida Black Stars kama ilivyokuwa…

Read More

Beki Mtanzania anukia Kenya | Mwanaspoti

Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20, ameondoka ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake kuisha, huku ikidaiwa aliomba kutoongeza mwingine kwa lengo la kutafuta changamoto sehemu nyingine mpya. Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20,…

Read More

Yanga yacheza dakika 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Mbio za Kasi za Playson, Fursa Yako ya Kuibuka Bingwa

MERIDIANBET kwa mara nyingine tena imeleta msisimko mpya kwenye ulimwengu wa kasino mtandaoni kupitia Playson Short Races, mashindano ya kasi yanayowapa nafasi wachezaji wote kujishindia mamilioni ya pesa taslimu kila siku. Kila usiku kuanzia saa 4:00 usiku hadi saa 8:50 usiku, kila mzunguko unaocheza kwenye sloti za Playson ni tiketi yako ya kupanda kwenye leaderboard…

Read More

ISW YAONGEZA FURSA MPYA KWA WANAOTAKA KUHUDUMIA JAMII KWA UTAALAMU

NJIA MBADALA ZA KUTATUA MIGOGORO NJE YA MAHAKAMA Akizungumza na mwandishi wa makala haya, Mhadhiri Msaidizi kutoka Chuo cha Ustawi wa Jamii, Idara ya taaluma za kazi,Asteria Mlambo amesema idara hiyo imeanzisha program mpya inayolenga kutatua migogoro kwa kutumia njia yingine tofauti na mahakama (Conflict Management and Alternative Dispute Resolution). Bi. Mlambo alisema program hiyo…

Read More

Yanga yacheza dakika120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Yanga yapiga 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Sauti Jasiri ya Kizazi Kipya – Global Publishers

Katika mitaa yenye shamrashamra ya Jiji la Dar es Salaam na kwenye majukwaa ya mitandao ya kijamii yanayoendelea kushika kasi Afrika Mashariki, jina moja limekuwa gumzo—Kamshange. Akitambulika kwa utu wake usio na woga, ukweli wake usio na kificho, na mvuto wake wa kipekee kwenye vyombo vya habari, Kamshange amejiwekea nafasi kama mmoja…

Read More