Kampuni ya Nazneen Handling yakabidhi mashine Chuo cha VETA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Nazneen, Hafeezali Gangji (wapili kulia) akikabidhi mfano wa funguo ya mtambo wa kuchanganyia zege,Zulfiqar zaky (katiakti) Dar es Salaam baada ya kununua mtambo huo kwenye maonesho ya 26 ya Buld Expo 2025. Kushoto ni Mohammed Kassam, Mkurugenzi wa Mauzo wa kamapuni hiyo, Niranjani Bandi na Nazia Gangji. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni…

Read More

Samia aahidi makubwa Pangani, akimsifu Aweso

Tanga. Mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu Hassan amesema mgombea ubunge wa jimbo la Pangani Jumaa Aweso amefanya kazi kubwa iliyofanya upatikanaji wa maji kufikia asilimia 85. Amesema katika kipindi kijacho cha miaka mitano mpango wa Serikali ni kuhakikisha inamaliza changamoto ya maji kwenye maeneo yote yaliyosalia ili kuhakikisha kila Mtanzania anapata maji safi na…

Read More

Airtel Africa Foundation unveils plan for improving 10 million lives in Africa by 203

Airtel Africa Foundation, the philanthropic arm of Airtel Africa plc, today unveiled its plans to directly improve the lives of 10 million people across the continent by 2030. The strategy will be delivered through targeted initiatives under four core pillars namely Financial Empowerment, Education, Environmental Protection and Digital Inclusion (FEED Outlining the ambitious target, Dr….

Read More

Wakulima Pemba wachekelea mpango wa hati miliki za mashamba ya karafuu

Pemba. Baada ya kuahidiwa kupatiwa hati-miliki za mashamba, wakulima wa karafuu kisiwani Pemba wameeleza matumaini ma-kubwa kuwa hatua hiyo itawaondolea dhu-luma na migogoro inayojitokeza kila msimu wa mavuno. Kwa muda mrefu, baadhi ya wakulima wamekuwa wakikumbana na changamoto za uvamizi na kudhulumiwa mashamba, licha ya mashamba hayo kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi au kupewa na…

Read More

Upelelezi kesi ya ‘Dk Manguruwe’ uko hivi

Dar es Salaam. Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40), maarufu Dk Manguruwe, upo katika hatua za mwisho kukamilika. Wakili wa Serikali, Winiwa Kassala, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Jumata-tu Septemba 29, 2025, wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili ya kutajwa. Mkondya na…

Read More

Anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, amwangukia DPP

Dar es Salaam. Mshtakiwa, Eric Ayo anayedaiwa kusafirisha vinyonga 164, nyoka na mijusi,  amemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) akiomba kufanya majadiliano ya kukiri makosa yake na apunguziwe adhabu. Ayo na wenzake wawili wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi namba 23/2021 yenye mashtaka matatu yakiwamo ya kuongoza genge la uhalifu na kusafirisha nyara za…

Read More

Dk Mwinyi aahidi ujenzi wa masoko ya kisasa kuimarisha biashara Zanzibar

Unguja. Ili kuimarisha biashara na kurahisisha upatikanaji wa bidhaa, mgombea urais wa Zan-zibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Mwinyi, ameahidi kuendelea na mpan-go wa kujenga masoko mapya ya kisasa ili ku-rahisisha upatikanaji wa bidhaa kisiwani Zanzi-bar. Maeneo yanayotarajiwa kujengwa ni Mwera, Kisauni, Fuoni na Kwa Haji Tumbo, ili kuondoa changamoto zinazowakabili wafanyabiashara na…

Read More

Moto wateketeza bweni la shule ya Wasichana Asha-Rose Migiro

Mwanga. Moto ambao chanzo chake hakija-julikana umeteketeza bweni la Shule ya Wasichana ya Asha-Rose Migiro, linalotumiwa na wanafunzi 347 katika Kitongoji cha Ma-kuyuni, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Mbali na kuteketea kwa bweni hilo, wanafunzi 46 wamepata mshituko na kupelekwa Kituo cha Afya Mwilange kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi. Kamanda wa Jeshi la Zimamoto…

Read More