Wadau wa maendeleo kujenga shule ya Sh1 bilioni Lindi

Lindi. Changamoto ya kusoma katika madarasa chakavu itakwenda kumalizika baada ya wadau wa maendeleo kutoa fedha zaidi ya Sh1 bilioni ili kuweza kujengwa kwa shule ya kisasa katika eneo la Likong’o, Manispaa ya Lindi. Akizungumza mara baada ya kutembelea majengo ya shule hiyo leo Ijumaa Oktoba 3, 2025, Mhandisi Burhan Omary amesema mradi huo wa…

Read More

EABC yaja na dawati la kidijitali kukuza biashara ya kuvuka mpakani

Arusha. Baraza la Biashara Afrika Mashariki (EABC) limezindua dawati la kidijitali la utoaji taarifa ili kusaidia wafanyabiashara wadogo wa mpakani kukabiliana na vikwazo visivyo vya kiforodha (NTBs). Vikwazo hivyo ambayo vimetajwa kuwa changamoto kubwa za biashara za ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), vitaweza sasa kutatulika haraka baada ya utoaji wa Taarifa. Uzinduzi huo,…

Read More

ZRA nayo yavuka lengo makusanyo robo ya kwanza

Unguja. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), kwa kipindi cha robo ya kwanza, Julai hadi Septemba 2025 ya mwaka wa fedha 2025/2026, imefanikiwa kukusanya kwa ufanisi wa asilimia 100.08 miongoni kwa sababu zikitajwa ni kuimarisha mifumo na elimu kwa mlipakodi. Katika kipindi hicho, Mamlaka ilikadiriwa kukusanya Sh274.073 bilioni ambapo kufikia Septemba 30, 2025 imefanikiwa kukusanya Jumla…

Read More

Utafiti kufanyika tathimini uchelewaji miradi ya ubia

Morogoro. Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) kwa kushirikiana na asasi ya kiraia ya Utawala Bora (Wajibu) kimetia saini makubaliano ya kufanya utafiti wa kina kutathimini vyanzo vya ucheleweshaji wa utekelezaji miradi ya ubia nchini. Utiaji saini umefanyika leo Ijumaa Oktoba 3, 2025 mjini Morogoro, ukiwashirikisha Mkurugenzi Mtendaji wa PPPC,…

Read More

Mapya yaibuka mfanyabiashara aliyejinyonga Moshi

Moshi. Mamia ya waombolezaji leo Ijumaa, Oktoba 3, 2025 wamejitokeza kushiriki mazishi ya mfanyabiashara wa sekta ya utalii, Azizi Yasin Msuya (39), aliyedaiwa kujiua kwa kujinyonga nyumbani kwake Sambarai, Moshi, mkoani Kilimanjaro. Msuya alikutwa amefariki dunia Alhamisi, Oktoba 2, 2025 majira ya saa mbili asubuhi nyumbani kwake katika Kata ya Kindi, Tarafa ya Kibosho. Mwili…

Read More

Folz anahesabu saa Yanga, ishu ipo hivi

ZILE kelele za mashabiki wa Yanga kwamba hawamuelewi kocha wa timu hiyo, Romain Folz huku wakisisitiza wanataka aondoke kwani timu imepoteza utambulisho wa soka la kuvutia, jambo limekuwa jambo na muda wowote inaweza kutolewa taarifa kwa umma. Tangu kuanza kwa kelele hizo, kulikuwa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA ATOA MUELEKEO UZALISHAJI NGANO WILAYANI HANANG

 *Azungumzia mashamba yasiyoendelezwa… Shamba la Basutu utaratibu ni ule ule Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Manyara MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema mkakati wa Serikali katika miaka mitano ijayo ni kuiwezesha Wilaya ya Hanang mkoani Manyara iweze kuzalisha tani milioni moja ya ngano ifikapo mwaka 2030. Akizungumza leo Oktoba 3,2025 wilayani Hanang…

Read More