Paresso: Huyu ndiye Samia wa miaka mitano ijayo

Mageuzi ya kiuchumi yaliyotokana na ubunifu na utekelezaji wa miradi mikubwa na ya kimkakati nchini Tanzania, yanatajwa kuwa miongoni mwa sababu kwa Watanzania kukichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wagombea wake, akiwemo Samia Suluhu Hassan anayewania urais. Kukamilika kwa miradi mikubwa ikiwemo ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere, Daraja la Kigongo-Busisi mkoani Mwanza,…

Read More

Miaka 20 ya Mtei akihudumu wodi ya wagonjwa wa akili

Dar es Salaam. Miaka 20 ya kufanya kazi katika wodi ya wagonjwa wa afya ya akili si jambo dogo. Wengi huiogopa sehemu hii kwa harufu ya dawa, milango inayofungwa kwa kufuli, na sauti za wagonjwa wanaozungumza peke yao au wanaoomba msaada. Hii ni hali ya kawaida kwa wauguzi wanaohudumu katika mazingira haya, lakini kwa Peter Mtei,…

Read More

Siri za kuimarisha afya ya akili

Dar es Salaam. Katika dunia ya sasa yenye kasi kubwa na msongamano wa majukumu, changamoto za maisha zimeendelea kuathiri siyo miili yetu pekee, bali pia afya ya akili kwa kiwango kikubwa. Kila siku watu hukumbana na presha kazini, changamoto za kifamilia, uhusiano wa kijamii na hali ngumu ya kiuchumi. Mambo haya husababisha msongo wa mawazo,…

Read More

Miaka 20 ya Mtei wodi ya wagonjwa wa akili

Dar es Salaam. Miaka 20 ya kufanya kazi katika wodi ya wagonjwa wa afya ya akili si jambo dogo. Wengi huiogopa sehemu hii kwa harufu ya dawa, milango inayofungwa kwa kufuli, na sauti za wagonjwa wanaozungumza peke yao au wanaoomba msaada. Hii ni hali ya kawaida kwa wauguzi wanaohudumu katika mazingira haya, lakini kwa Peter Mtei,…

Read More

UTI haisababishwi na kujamiiana | Mwananchi

Maambukizi ya njia ya mkojo yaani Urinary Track Infections kifupi UTI, si maambukizi yanayoenezwa kwa njia ya kujamiana yaani Sexual Transmitted Infection kifupi STI. Hata hivyo, kujamiana na harakati zake huongeza hatari ya kupata UTI, hivyo kusababisha mkanganyiko na magonjwa ya STI. UTI ni maambukizi ya bakteria kwenye mfumo wa mkojo unaohusisha kibofu, mirija inayoleta mkojo…

Read More

Magonjwa yasiyoambukiza yanavyoua ndoto za vijana

Miaka ya nyuma, magonjwa kama kisukari na shinikizo la damu yalikuwa yakihusishwa zaidi na watu wazima wenye umri wa miaka 40 na kuendelea. Yalichukuliwa kama maradhi ya uzee, matokeo ya mwili kuchoka kutokana na maisha marefu. Lakini hali imebadilika kwa kasi ya kutisha. Sasa, yale magonjwa yaliyokuwa yakionekana mbali yamekuwa wageni wa karibu katika maisha…

Read More

Kuelewa visababishi vya kisukari aina ya kwanza

Kisukari aina ya kwanza, kinachojulikana pia kama Type 1 Diabetes, ni ugonjwa sugu unaotokea pale mfumo wa kinga ya mwili, unaposhambulia chembe chembe za kongosho zinazozalisha insulin. Insulin ni homoni muhimu inayosaidia mwili kutumia sukari kuwa nishati. Bila insulin, sukari hukusanyika kwenye damu na kusababisha kiwango chake kupanda na kuwa hatari. Kisukari aina ya kwanza…

Read More