Sowah achimba mkwara! Malengo yake balaa
MSHAMBULIAJI wa Simba, Jonathan Sowah usiku wa leo Jumamosi atakuwa bize uwanjani na kikosi cha timu hiyo katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United ya Botswana, huku akitema cheche mapema kwa msimu huu wa 2025-2026. Nyota huyo wa zamani wa Mediama ya Ghana na Singida Black Stars, amejiwekea malengo…