Oryx Gas na TCRF waunga mkono jitihada za Rais Samia kwa kufunga jiko la nishati mashuleni

KATIKA kuunga juhudi za Serikali kupitia kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Oryx Gas Tanzania imeshirikiana na Taasisi ya Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) kuhakikisha shule ambazo zinawanafunzi zaidi 100 kuunganisha jiko linalotumia mfumo wa nishati safi ili kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni. Akizungumza leo Septemba 19,2025 katika hafla ya uzinduzi wa…

Read More

Watatu kortini wakidaiwa kusafirisha kilo moja ya cocaine

Dar es Salaam. Wafanyabiashara watatu, wakazi wa Manzese, jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakidaiwa kusafirisha kilo moja ya dawa za kulevya aina ya cocaine. Washtakiwa hao ni Salum Kilindo (46), Salum Hassan (33) na Sofia Ngawaya (34). Leo Ijumaa, Septemba 19, 2025, washtakiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo na kusomewa…

Read More

Sababu Mkurugenzi halmashauri kutupwa jela miaka 20

Moshi/Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunza amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka. Gunza amehukumiwa adhabu hiyo Septemba 18, 2025 na Hakimu Mkuu Mkazi, Charles Uiso wa Mahakama ya Wilaya Simanjiro, ambaye amesema Jamhuri imethibitisha mashtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote….

Read More

Mkuu wa Msaada wa UN anakaribisha maendeleo kuelekea utapeli wa miezi mitatu-maswala ya ulimwengu

“Karibu maendeleo kutoka Misri, Saudi Arabia, UAE na Amerika kuelekea haraka inahitajika kwa haraka miezi 3 ya kibinadamu huko Sudani,” Bwana Fletcher aliandika kwenye vyombo vya habari vya kijamii. “Tunasimama tayari kutoa,” akaongeza. “Ufikiaji salama, usio na dhamana ni muhimu.” Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi hizo nne inakuja wakati wa Sudan Mgogoro wa Spiraling…

Read More

Puma yaboresha upatikanaji wa nishati Singida

Dar es Salaam. Kampuni ya Puma Energy imezindua kituo cha huduma mkoani Singida, ikisema hatua hiyo inalenga kuboresha upatikanaji wa nishati, kuunda fursa za kiuchumi na kutoa huduma za kisasa kwa wananchi. Kituo hicho kipya kimeelezwa kitachangia kukuza maendeleo ya kiuchumi ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho,…

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

MWANA FA KUSHUGHULIKIA MAWASILIANO YA SIMU JIMBO LA MUHEZA

Na Mwandishi Wetu, Muheza MGOMBEA ubunge Jimbo la Muheza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hamis Mwinjuma maarufu MwanaFA amesema katika miaka mitano ijayo atahakikisha anaongeza minara ya simu ili Jimbo la Muheza liweze kuwa na mawasiliano katika maeneo ambayo yana changamoto hiyo. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Kwezitu tarafa…

Read More