
DC NDILE AIPONGEZA TANESCO RUVUMA, ATAKA WAWAFATILIE WAKANDARASI KUTOAJIRI VIJANA WANAOWALAGHAI WANANCHI.
Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile, amelipongeza shirika la umeme Tanzania TANESCO kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi kwani amekuwa akipokea zawadi kutoka kwa wateja wa shirika hilo waishio maeneo ya vijijini kumpongeza kwa jitihada zinazofanywa na TANESCO kufikisha huduma kwenye vijiji vyote. Mbali na mafanikio hayo, amewataka TANESCO kufanya uhakiki na ufuatiliaji…