Hiki hapa chanzo cha ufaulu wa wanafunzi Ludewa

Njombe. Motisha kwa walimu imeelezwa kuwa chanzo cha Wilaya ya Ludewa kufanya kuongoza kwenye ufaulu wa wanafunzi matokeo ya mtihani wa taifa kidato cha sita na kushika nafasi ya kwanza kimkoa kati ya wilaya zote za Mkoa wa Njombe. Hayo yamesemwa leo Agosti 23, 2025 na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias wakati wa…

Read More

Serikali yaombwa kusaidia familia iliyoachwa yatima

Mufindi. Baada ya vifo vya wazazi vilivyotokana na ugomvi uliohusisha wivu wa kimapenzi, familia imeiomba Serikali iwasaidie ili watoto 11 walioachwa yatima, baadhi wakiwa bado wanasoma waondokane na hali ngumu ya maisha inayowakabili. Mama wa watoto hao, Elizabeth Kihombo (46), mkazi wa Kijiji cha Ihefu, wilayani Mufindi, mkoani Iringa, aliyetuhumiwa  kumuua mume wake, Philimon Lalika…

Read More

 Wanafunzi 292 washindwa kuripoti shule kwa hofu ya wanyama

Simanjiro. Umbali mrefu wa makazi ya wananchi na uwepo wa wanyama wakali katika maeneo hayo vimetajwa kusababisha wanafunzi 292 kushindwa kuripoti kidato cha kwanza mwaka wa masomo 2024/25 katika Shule ya Sekondari ya Emboreet, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara. Kutokana na changamoto hiyo, Mkuu wa shule hiyo, Aziza Msengesi, leo Agosti 23, 2025 ameiomba Serikali…

Read More

Uganda nayo yazifuata Kenya, Tanzania

TIMU ya Taifa ya Uganda maarufu ‘The Cranes’, imetupwa nje katika michuano CHAN 2024, baada ya kuchapwa bao 1-0 na bingwa mtetezi Senegal kwenye Uwanja wa Nelson Mandela, Uganda, leo Agosti 23, 2025. Katika mechi hiyo ya hatua ya robo fainali, Senegal ilipata bao hilo dakika ya 62 kupitia kwa Oumar Ba aliyepokea pasi ya…

Read More

Mwaterema arejea Kagera | Mwanaspoti

KAGERA Sugar inajiimarisha kuelekea msimu ujao inapokwenda kushiriki Ligi ya Championship baada ya kumrejesha aliyekuwa mshambuliaji wao, Hassan Mwaterema kutoka Dodoma Jiji. Mshambuliaji huyo amerejea Kagera Sugar akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake na Dodoma Jiji. Mwanaspoti limepenyezewa taarifa za ndani kutoka kwa mmoja wa viongozi wa timu hiyo kuwa wapo kwenye hatua…

Read More

MWANAISHA MNDEME AJITOSA RASMI KUGOMBEA UBUNGE KIGAMBONI KUPITIA ACT-WAZALENDO

Wakili na mwanaharakati wa haki za kijamii, Mwanaisha Mndeme, leo ameonesha dhamira yake ya kuwatumikia wananchi wa Kigamboni kwa kuchukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama cha ACT-Wazalendo. Zoezi hilo limefanyika katika ofisi za Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni na kushuhudiwa na wafuasi wake waliokusanyika kwa hamasa kubwa kuonyesha mshikamano na matumaini…

Read More