DC NDILE AIPONGEZA TANESCO RUVUMA, ATAKA WAWAFATILIE WAKANDARASI KUTOAJIRI VIJANA WANAOWALAGHAI WANANCHI.

Mkuu wa Wilaya ya Songea Kapenjama Ndile, amelipongeza shirika la umeme Tanzania TANESCO kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi kwani amekuwa akipokea zawadi kutoka kwa wateja wa shirika hilo waishio maeneo ya vijijini kumpongeza kwa jitihada zinazofanywa na TANESCO kufikisha huduma kwenye vijiji vyote. Mbali na mafanikio hayo, amewataka TANESCO kufanya uhakiki na ufuatiliaji…

Read More

DK.SAMIA KUUFUNGUA MKOA WA MARA KWA MIUNDOMBINU YA USAFIRISHAJI ILI KUUINUA UCHUMI

*Aahidi kuendelea kuupanua Uwanja wa Ndege ,kukagua bandari,ujenzi wa SGR *Awaomba wananchi Mkoa wa Mara Oktoba 29 waipigie kura CCM iendelee na kazi  Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mara MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Mara kuwa Serikali itaendelea na uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo ya barabara,reli,Uwanja…

Read More

DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUENDELEA NA MKAKATI UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mara. MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema mkakati wa Serikali katika miaka mitano ijayo ni kuendelea kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kufungua fursa mbalimbali za Uwezeshaji wananchi kiuchumi. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Musoma Mjini mkoani Mara ,Mgombea Urais Dk.Samia ameeleza kuwa mengi yamefanywa…

Read More

UN na washirika wa kibinadamu ‘wamejiandaa kusonga – sasa,’ anasema Guterres – maswala ya ulimwengu

Akiongea na waandishi wa habari katika makao makuu ya UN huko New York Alhamisi, Bwana Guterres alikaribisha makubaliano hayo, kwa kuzingatia pendekezo la Rais wa Merika, Donald Trump, na akasema lazima “itekelezwe kikamilifu.” “Sote tumesubiri kwa muda mrefu sana kwa wakati huu. Sasa lazima tufanye kuhesabu kweli,“Alisema.” Mateka wote lazima waachiliwe kwa heshima. Kukomesha kwa…

Read More