Mweka kuzalisha wataalamu wa saikolojia katika utalii
Moshi. Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka kimepanga kuanzisha programu ya saikolojia katika utalii, itakayolenga kutambua na kuelewa kwa kina malengo, mitazamo na matarajio ya watalii wanaoingia nchini. Hatua hiyo inalenga kuimarisha utoaji wa huduma bora pamoja na kuboresha usimamizi endelevu wa sekta ya utalii na uhifadhi wa rasilimali za asili nchini. Hayo yamesemwa na…