CCM kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja ili kuhakikisha wanafikia azma ya kuwa na Taifa linalojitegemea kiuchumi. Samia amebainisha hayo leo Alhamisi Septemba 18, 2025 wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika Jimbo la Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja. Mkutano huo wa kampeni za…

Read More

Othman: Mambo haya yataifungua Pemba kiuchumi, kimaendeleo

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman ametaja mambo manne ikiwemo ujenzi wa uwanja wa ndege, akisema ndiyo ufunguo wa kuifungua Pemba kimaendeleo na kiuchumi. Mengine ni miundombinu ya bandari, mawasiliano, utawala mwema na mzunguko wa watu wanaoingia na kutoka Pemba. Othman ameeleza hayo leo Alhamisi Septemba 18,2025…

Read More

EU yaweka mkakati kuinua kilimo Tanzania

Moshi. Umoja wa Ulaya (EU) umeanzisha mpango maalumu wa kuimarisha ushirikiano wake na Tanzania katika sekta ya kilimo, ukiweka msisitizo kwenye maendeleo endelevu ya kidijitali, mabadiliko ya tabianchi na kuongeza thamani ya mazao ya bustani na kilimo ikolojia. Kupitia mpango huo, EU itashirikiana na Serikali ya Tanzania pamoja na wadau mbalimbali kutathmini fursa za uwekezaji…

Read More

AG Johari:  Wanasheria endeleeni kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More

AG Johari:  Wanasheria endelea kujifunza bila kikomo

Kibaha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema taifa linahitaji wanasheria wenye moyo wa kujifunza daima, akibainisha kuwa elimu haiishii chuoni bali ni safari endelevu ya kukuza weledi na uwezo wa kutatua changamoto mbalimbali. Johari ametoa kauli hiyo leo, Alhamisi Septemba 18, 2025, wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kwa wanasheria wa Serikali kutoka Ofisi…

Read More