TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA 48 WA BARAZA LA MAWAZIRI AFRIKA ADDIS ABABA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inashiriki Mkutano wa 48 wa Baraza la Mawaziri Afrika unaofanyika jijini Addis Ababa, Ethiopia kuanzia Februari 11-12, 2026. Ujumbe wa Tanzania katika mkutano huo unaongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.shimiwa Mahmoud Thabit Kombo (Mb). Mkutano huo unawakutanisha Mawaziri wa Mambo ya Nje na…