Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia — Wengi Waokolewa, Wengine Watafutwa
Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia — Wengi Waokolewa, Wengine Watafutwa – Global Publishers Home Habari Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia — Wengi Waokolewa, Wengine Watafutwa
Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia — Wengi Waokolewa, Wengine Watafutwa – Global Publishers Home Habari Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia — Wengi Waokolewa, Wengine Watafutwa
MABAO mawili yaliyofungwa katika kila kipindi, yameipa Azam FC ushindi wa kwanza katika Kombe la Mapinduzi 2026 ulioifanya kuacha msala kwa Singida Black Stars na URA. Azam imepata ushindi huo katika mechi yake ya pili iliyochezwa leo Januari 2, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja ambapo imeiacha Mlandege ikivuliwa ubingwa kwa aibu….
na CIVICUS Ijumaa, Januari 02, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili mswada wa Kazakhstan dhidi ya LGBTQI+ na Temirlan Baimash, mwanaharakati na mwanzilishi mwenza wa mpango wa vijana wa QUEER KZ, shirika la LGBTQI+ la Kazakhstani. Temirlan Baimash Mnamo tarehe 12 Novemba, bunge la chini la Kazakhstan lilipitisha kwa kauli moja mswada wa kupiga marufuku…
WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa wakati ili uanze kutoa huduma ya maji kwa wananchi. Ametoa wito huo leo (Ijumaa, Januari 02, 2026) wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa bwawa hilo lililopo Wilaya ya Morogoro, mkoani Morogoro. Akizungumza baada ya ukaguzi…
Rombo. Kanisa la The Sowers Evangelical International Church limeanza ujenzi wa zahanati katika Kata ya Tarakea Motamburu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa wakazi wa maeneo ya pembezoni na ya mpakani ya mji wa Tarakea. Zahanati hiyo, itakayojulikana kama Zahanati ya Judwil, ikikamilika inatarajiwa kuondoa adha ya…
PM Mwigulu Akagua Athari za Mvua Kidete, Atoa Hakikisho la Serikali – Video – Global Publishers Home Habari PM Mwigulu Akagua Athari za Mvua Kidete, Atoa Hakikisho la Serikali – Video
Mpwapwa. Serikali imetangaza usafiri wa treni ya mwendo kasi (SGR) utaanza kesho jioni. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 2, 2025 na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa wakati akizungumza na wananchi wa Gulwe wilayani Mpwapwa. Waziri Profesa Mbalawala ametaja sababu za kusimamishwa usafiri huo ni kufanya uhakiki wa miundombinu ya reli yote kwa baadhi…
Mbeya. Siku moja baada ya gazeti la Mwananchi kuripoti kupanda kwa bei ya bidhaa jijini Mbeya, Kamati ya Ulinzi na Usalama wilayani humo, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya, Solomon Itunda, imefanya ziara ya kushtukiza katika baadhi ya maduka na kuwahakikishia wananchi kuwa hatua za kudhibiti hali hiyo zinachukuliwa. Mbali na ziara hiyo, kamati imeunda timu…
Kibaha. Baadhi ya wakazi wa Kata ya Visiga, Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani, wamelalamikia upatikanaji wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri. Wamesema kuwa kila wanapofuatilia maombi yao, huambiwa fedha tayari zimeshatolewa, jambo linalosababisha kutoridhika na kutokuwepo kwa uwazi kwa walionufaika. Hali hiyo ilisababisha mjadala mkali wakati wa mkutano wa hadhara ulioongozwa na Mstahiki…
SIMBA inaendelea kuhusishwa kuwapigia hesabu makipa wawili wazawa, Yona Amos wa Pamba Jiji na Patrick Munthary wa Mashujaa ili kuongeza nguvu ikiwa na pengo la Moussa Camara na Yakoub Suleiman ambao ni majeruhi wanaodaiwa watakuwa nje kwa muda mrefu. Hata hivyo, makipa hao nao wameibuka na yao, ikielezwa ni ngumu kwa Munthary sasa kutua Msimbazi…