Azam yaichapa Mlandege, yaiachia msala Singida BS

MABAO mawili yaliyofungwa katika kila kipindi, yameipa Azam FC ushindi wa kwanza katika Kombe la Mapinduzi 2026 ulioifanya kuacha msala kwa Singida Black Stars na URA. Azam imepata ushindi huo katika mechi yake ya pili iliyochezwa leo Januari 2, 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja ambapo imeiacha Mlandege ikivuliwa ubingwa kwa aibu….

Read More

‘Mswada huu wa Kupinga LGBTQI+ Bado Unaweza Kuzuiwa – lakini kwa Shinikizo Endelevu la Kimataifa’ – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Ijumaa, Januari 02, 2026 Inter Press Service CIVICUS inajadili mswada wa Kazakhstan dhidi ya LGBTQI+ na Temirlan Baimash, mwanaharakati na mwanzilishi mwenza wa mpango wa vijana wa QUEER KZ, shirika la LGBTQI+ la Kazakhstani. Temirlan Baimash Mnamo tarehe 12 Novemba, bunge la chini la Kazakhstan lilipitisha kwa kauli moja mswada wa kupiga marufuku…

Read More

Kanisa lawasogezea wananchi wa Tarakea huduma za afya

Rombo. Kanisa la The Sowers Evangelical International Church limeanza ujenzi wa zahanati katika Kata ya Tarakea Motamburu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, hatua inayolenga kuboresha upatikanaji wa huduma za afya kwa wakazi wa maeneo ya pembezoni na ya mpakani ya mji wa Tarakea. Zahanati hiyo, itakayojulikana kama Zahanati ya Judwil, ikikamilika inatarajiwa kuondoa adha ya…

Read More

Usafiri SGR kuanza kesho sababu zikitajwa

Mpwapwa. Serikali imetangaza usafiri wa treni ya mwendo kasi (SGR) utaanza kesho jioni. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Januari 2, 2025 na Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa wakati akizungumza na wananchi wa Gulwe wilayani Mpwapwa. Waziri Profesa Mbalawala ametaja sababu za kusimamishwa usafiri huo ni kufanya uhakiki wa miundombinu ya reli yote kwa baadhi…

Read More

Wakazi Visiga walalamikia mikopo ya asilimia 10, halmashauri yataja changamoto ya urejeshaji

Kibaha. Baadhi ya wakazi wa Kata ya Visiga, Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani, wamelalamikia upatikanaji wa mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri. Wamesema kuwa kila wanapofuatilia maombi yao, huambiwa fedha tayari zimeshatolewa, jambo linalosababisha kutoridhika na kutokuwepo kwa uwazi kwa walionufaika. Hali hiyo ilisababisha mjadala mkali wakati wa mkutano wa hadhara ulioongozwa na Mstahiki…

Read More

Dili la kipa mpya Simba ugumu uko hapa

SIMBA inaendelea kuhusishwa kuwapigia hesabu makipa wawili wazawa, Yona Amos wa Pamba Jiji na Patrick Munthary wa Mashujaa ili kuongeza nguvu ikiwa na pengo la Moussa Camara na Yakoub Suleiman ambao ni majeruhi wanaodaiwa watakuwa nje kwa muda mrefu. Hata hivyo, makipa hao nao wameibuka na yao, ikielezwa ni ngumu kwa Munthary sasa kutua Msimbazi…

Read More