MAKAMU WA RAIS AMTEMBELEA NA KUMJULIA DKT. MOHAMED BILAL

…………

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi, amtembelea na kumjulia hali, Makamu wa Rais Mstaafu wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal, katika makazi
yake Masaki Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 02 Januari 2026