Uteuzi wa kamati waivuruga Chadema Kanda ya Nyasa

Dar es Salaam. Uteuzi wa wenyeviti na makatibu wa kamati za kudumu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa umeibua mvutano miongoni mwa viongozi wa kanda hiyo. Januari Mosi, 2026, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi alifanya uteuzi wa makatibu na wenyeviti wa kamati za kudumu za kanda hiyo, jambo…

Read More

Mambo magumu kwa mchungaji Malisa, afunguliwa kesi nyingine

Dar es Salaam. Wakati kesi ya uhaini inayomkabili mchungaji Godfrey Malisa ikipangwa kutajwa tena Januari 16,2025, imebainika kuwa upande wa Jamhuri imemfungulia kesi nyingine ya Jinai inayohusiana na makosa ya kimtandao. Kesi ya uhaini namba 000028333 ya 2025 ilitajwa jana Januari 2,2025 mbele ya Hakimu Mkuu Mkazi Ally Mkama wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi lakini…

Read More

Mlandege yaivaa Azam bila kupiga tizi

JANA Ijumaa, ilipigwa mechi moja ya Kombe la Mapinduzi 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja mabingwa watetezi Mlandege dhidi ya Azam, lakini kuna kitu kilitokea kabla ya mechi hiyo iliyoanza saa 2:15 usiku. Mlandege iliyopoteza mechi mbili za kwanza ilifungwa 3-1 na Singida Black Stars kisha ikalamba 1-0 na URA, imekuwa ya kwanza…

Read More

Mechi za uamuzi Mapinduzi Cup 2026

LEO Jumamosi kuna mechi mbili za Kombe la Mapinduzi 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja ambazo zimebeba matokeo ya kuamua jambo baina ya timu zinazokwenda kukutana. Saa 10:15 jioni, Singida Black Stars yenye pointi nne, itacheza dhidi ya URA iliyokusanya pointi tatu, ikiwa ni mechi ya Kundi A. Mechi hii endapo Singida Black…

Read More

Ahoua akisepa Simba, mrithi wake ni huyu

KIKOSI cha Simba usiku wa leo kipo uwanjani kupepetana na Muembe Makumbi katika pambano la kwanza la Kundi B la michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026, huku mabosi wa klabu hiyo wakiwa bize kusaka mashine mpya zitakazoimarisha timu hiyo hasa baada ya kuwepo kwa tetesi za Jean Charles Ahoua kujiandaa kusepa Msimbazi. Mfungaji huyo bora…

Read More

WIKIENDI YA MOTO: KenGold, Kagera Sugar patachimbika!

RAUNDI ya 13 ya Ligi ya Championship inaendelea tena wikiendi hii kwa mechi kali na za kuvutia, ambapo macho na masikio ya wapenzi wa soka nchini yataelekezwa katika mechi ya kesho Jumapili kati ya wenyeji, KenGold na Kagera Sugar. Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kutokana na timu zote mbili kushuka daraja msimu wa 2024-2025, zikitokea…

Read More

Yanga yamganda winga Mkongomani, yatajiwa bei

MABOSI wa Yanga wameendelea kumganda winga mmoja matata kutoka DR Congo kwa kutaka ashuke mapema ili awahi michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayoendelea Zanzibar. Uongozi unafanya hivyo kwa lengo la kutekeleza mapendekezo ya kocha Pedro Goncalves anayetaka kuletewa mashine za maana kabla ya kurejea katika mechi za Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa…

Read More

Baada ya kuanza kazi Yanga, kiungo mpya atema cheche

YANGA imeanza kushusha vyuma huko katika dirisha hili dogo la usajili lililofunguliwa rasmi juzi, Januari mosi, kufuatia kumtambulisha rasmi kiungo mpya, Mohammed Damaro ambaye amejiunga na klabu hiyo kwa mkopo wa miezi sita akitokea Singida United. Mara baada ya utambulisho wake, Damaro ambaye kwa sasa ni raia wa Tanzania, amezungumza na Mwanaspoti kuhusu uhamisho huo…

Read More