Upelelezi wakwamisha kesi ya mauaji ya Mobe

Musoma. Kesi ya mauaji ya Rhoda Mobe (42) aliyekuwa mkazi wa Kijiji cha Burunga Wilaya ya Serengeti mkoani Mara imeahirishwa hadi Januari 19, 2026 kwa kuwa upelelezi haujakamilika. Kesi hiyo ambayo leo Jumatatu Januari 5, 2026  ni mara ya tatu kusomwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma  inahusisha  washtakiwa wawili, mmoja akiwa ni mwalimu wa…

Read More

Kanisa la TMC latoa mkono wa pole Mpwapwa

‎Mpwapwa. Kanisa la Tanzania Methodist (TMC) limetoa mkono wa pole kwa washirika wa kanisa hilo waliopata majanga ya nyumba zao kuezuliwa na mvua yenye upepo mkali iliyonyesha Desemba 18, 2025 wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma. ‎Kanisa hilo limetoa msaada wa vifaa vya ujenzi kama mabati, misumari na mbao, vyandarua 200 vyenye dawa ya kuua mbu na…

Read More

DKT. MWIGULU AFUNGUA SKULI YA CHUKWANI, ZANZIBAR

_Ampongeza Dkt. Mwinyi kwa uwekezaji katika sekta ya Elimu._ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya Sekondari Chukwani, Zanzibar ikiwa ni sehemu ya shamrashamra ya maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar. Ujenzi wa skuli hiyo ambayo imegharimu shilingi bilioni 6.1 imeanzishwa kwa lengo la kuwaandaa vijana wenye…

Read More

Huu hapa ujumbe wa Venezuela kwa Marekani

Caracas. Ikiwa ni siku moja imepita tangu vikosi vya Marekani kumkamata Rais Nicolas Maduro, Serikali ya Venezuela imetoa ujumbe kwa jumuiya ya kimataifa na hasa kwa Marekani, ikisisitiza dhamira yake ya kudumisha amani, kuishi kwa kuheshimiana na kuimarisha ushirikiano wa kimataifa bila vitisho. Katika taarifa iliyochapishwa katika mitandao ya kijamii leo Jumatatu Januari 5, 2026…

Read More

Staa URA aitumia salamu Azam

WAKIJIANDAA kwa mechi ya mwisho kuhitimisha kundi A ambayo imebeba hatma ya kila mmoja wao, nyota wa URA, Mulikyi Hudu ameitumia salamu Azam FC kwa kusema, ijiandae kupokea maumivu na si kingine. Timu hizo zitakutana leo Jumatatu saa 10:15 jioni kwenye Uwanja wa New Amaan Unguja katika Kombe la Mapinduzi. Hudu ambaye alitangazwa kuwa mchezaji…

Read More

Dabi ya Mzizima yanukia nusu fainali Mapinduzi Cup

LEO Jumatatu, makundi mawili katika Kombe la Mapinduzi 2026 yanamaliza mechi zake ambapo baada ya dakika tisini, tunaweza kushuhudia jambo kubwa sana. Nalo si jingine bali mechi ya nusu fainali inayoweza kuzikutanisha Azam dhidi ya Simba endapo tu timu hizo zote leo zitaibuka na ushindi. Ipo hivi. Leo saa 10:15 jioni, Azam inacheza na URA…

Read More

Chukwu, Yakoub hawashikiki Mapinduzi Cup

KABLA ya jana jioni Yanga haijacheza dhidi ya KVZ, kuna mastaa wawili katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 walikuwa wamefunika kwa kubeba tuzo nyingi. Mastaa hao ni Morice Chukwu wa Singida Black Stars na Yakoub Said Mohamed ambao katika mechi za hatua ya makundi, kila mmoja amebeba tuzo mbili. Chukwu ambaye anacheza eneo la…

Read More

Maduro kufikishwa mahakamani Marekani leo

Rais wa Venezuela, Nicolas Maduro, anatarajiwa kufikishwa mahakamani nchini Marekani leo baada ya kukamatwa mwishoni mwa wiki na vikosi vya Marekani, huku Rais wa Marekani, Donald Trump, akiweka wazi uwezekano wa uvamizi mwingine iwapo Marekani haitapata inachokitaka kutoka kwa kiongozi wa mpito wa nchi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana Jumapili, Trump alisema anaweza…

Read More