Mabinti 200 wanusurika kukeketwa Mara, RC atoa maagizo

Musoma. Zaidi ya mabinti 200 wamenusurika kukeketwa wilayani Tarime, Mkoa wa Mara baada ya kuokolewa na kituo cha Nyumba Salama kilichopo Butiama mkoani humo. Mabinti hao wamenusurika kufanyiwa vitendo hivyo katika msimu wa ukeketaji uliofanyika mwaka 2025, ukihusisha ukoo wa Wairegi ambao ni miongoni mwa koo 13 za kabila la Wakurya. Takwimu hizo zimetolewa mjini…

Read More

Bodaboda aliyehukumiwa miaka 30 jela aruka kihunzi

Arusha. Mahakama ya Rufaa imefuta adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela iliyokuwa imetolewa dhidi ya dereva bodaboda, Mohamed Nyema maarufu Mudi wa Kusizi. Nyema aliyehukumiwa kwa kosa la wizi wa kutumia silaha, ameachiwa huru baada ya kubaini upande wa mashtaka haukuthibitisha mashitaka yake bila kuacha shaka. Uamuzi huo umetolewa na jopo la majaji watatu…

Read More

Unyanyasaji Mtandaoni ni Unyanyasaji Halisi – na Wanawake na Wasichana wa Afrika Wanalipa Bei – Masuala ya Ulimwenguni

Msichana kwenye kompyuta. Credit: UNFPA Jamhuri ya Afrika ya Kati/Karel Prinsloo Maoni na Sennen Hounton (umoja wa mataifa) Jumatano, Januari 07, 2026 Inter Press Service Hatua ya kijasiri ya serikali, makampuni ya teknolojia, na jumuiya zote inahitajika ili kukabiliana na ongezeko la unyanyasaji wa kijinsia unaowezeshwa na teknolojia ambao unazima sauti za wanawake na kutishia…

Read More

Nafasi ya Kutandika Jamvi Hii Hapa

JE unajua kuwa ukibashiri na Meridianbet ni rahisi sana kwako kuondoka na mtanange wa maana?. Timu kibao zipo uwanjani kuhakikisha haubaki patupu leo, hivyo tandika jamvi lako la uhakika hapa. Ligi kuu ya Uingereza, EPL inatarajiwa kuendelea leo hii ambapo Brentford ataumana dhidi ya Sunderland ambao wapo nafasi ya 8 na mwenyeji wake nafasi ya…

Read More

Ushindi wa Kutisha Unakungoja Ukicheza Trick or Treat Bonanza

WAPENZI wa kasino na michezo ya mtandaoni, mara baada ya kutamatika kwa msimu wa Halloween, Meridianbet imeendelea kukupatia burudani isiyo na kifani kupitia Trick or Treat Bonanza, mchezo ambao unachanganya ladha iliyopita ya Halloween na fursa za ushindi wa kweli. Mchezo huu unakukaribisha kwenye Haunted Candy Realm, ulimwengu wa ajabu uliojaa pipi za kuogofya, vishawishi…

Read More

Kamishna wa Kamisheni ya Polisi Jamii Awasili Mkoani Mwanza leo, kwa ziara ya kikazi, Kufungua mafunzo ya siku moja kwa Maafisa wa Polisi Jamii

KAMISHNA wa Kamisheni ya Polisi Jamii, CP Faustine Shilogile, amewasili mkoani Mwanza leo, Januari 07, 2026, kwa ziara ya kikazi ambapo anatarajiwa kufungua mafunzo ya siku moja kwa Maafisa wa Polisi Jamii kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa. Mafunzo hayo yatahusisha washiriki ambao ni maafisa wa Polisi Jamii kutoka Mikoa ya Mara, Tarime, Rorya, Simiyu,…

Read More