JE unajua kuwa ukibashiri na Meridianbet ni rahisi sana kwako kuondoka na mtanange wa maana?. Timu kibao zipo uwanjani kuhakikisha haubaki patupu leo, hivyo tandika jamvi lako la uhakika hapa.
Ligi kuu ya Uingereza, EPL inatarajiwa kuendelea leo hii ambapo Brentford ataumana dhidi ya Sunderland ambao wapo nafasi ya 8 na mwenyeji wake nafasi ya 7. Wote wana pointi sawa hivyo ushindi ni muhimu kwa kila timu siku ya leo. ODDS KUBWA zipo kwenye mechi hii siku ya leo. Tandika jamvi hapa.
Mechi nyingine ni hii Everton vs Wolves ambao wamepata ushindi mmoja tuu kwenye ligi japokuwa bado wapo nafasi ya mwisho hadi sasa. The Toffees wanahitaji ushindi kwenye mechi hii pale nyumbani ili wajiweke sawa kwenye msimamo wa ligi. Mechi hii ina machaguo zaidi ya 1000. Jisajili hapa.
Pia naye Fulham atamenyana dhidi ya Chelsea ambao wametoka kumfukuza kocha wao hadi sasa, huku pia wakiwa wanajitafuta kubakia nafasi 4 za juu kwenye msimamo wa ligi. Mara ya mwisho kukutana hawa wawili, The Blues waliondoka na ushindi mnono pale kwao. Je ni wakati sahihi wa kulipa kisasi?. Bashiri hapa.
Ushindi upo kwenye michezo ya Kasino ya mtandaoni kama vile Keno, Aviator, Poker, Roulette,Super Heli na mingine kibao. Jiunge leo kwa kutembelea tovuti ya meridianbet.co.tz au piga *149*10# kisha uanze safari yako ya ushindi.
Kwa upande wa Manchester City wao wataumana dhidi ya Brighton ambao wapo nafasi ya 10 kwenye msimamo wa ligi. City wapo kwenye mbio za ubingwa na wanahitaji ushindi huu siku ya leo wajiweke sawa kwenye nafasi 4 za juu. ODDS za kibabe zipo mechi hii. Suka jamvi hapa .
Vilevile ligi kuu ya Italia, SERIE A inatarajiwa kuendelea ambapo Bologna ataumana dhidi ya Atalanta ambao wapo nafasi ya 8 huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 7 kwenye msimamo wa ligi. Tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni pointi moja pekee. Je leo hii nani kuibuka na pointi 3?. Jisajili hapa.
Naye Napoli chini ya kocha mkuu Conte atakuwa nyumbani kusaka ushindi dhidi ya Hellas Verona ambao wapo nafasi ya 3 kutoka mwisho, huku wenyeji wao wakiwa nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi. Nafasi ya kushinda pale Meridianbet amepewa Naples hivyo ingia na ubeti hapa.
Halikadhalika naye Parma atamleta Inter ambao mpaka sasa ndio vinara wa ligi wakiwa mbele kwa pointi moja chini ya anayemfuata. Mgeni anahitaji ushindi siku ya leo ili azidi kukaa kileleni kwenye msimamo wa ligi na kuchukua taji ambalo msimu uliopita walilikosa. Je nani unampa pesa yako ndogo akutajirishe?. Bashiri hapa.
SUPER CUP, kule Hispania pia inatarajiwa kuendelea ambapo FC Barcelona ataumana dhidi ya Athletic Bilbao ambapo mechi ya mwisho kwenye ligi walipokutana, Barca aliondoka na ushindi mnono kabisa. Je kwenye kombe hili Bilbao anaweza akalipa kisasi?. Tandika jamvi hapa.