JKT, Simba kazi ipo WPL
BAADA ya jana kupigwa mechi nne za Ligi ya Wanawake (WPL), leo saa 12 jioni itaendelea Simba Queens itakapoikaribisha JKT Queens.
BAADA ya jana kupigwa mechi nne za Ligi ya Wanawake (WPL), leo saa 12 jioni itaendelea Simba Queens itakapoikaribisha JKT Queens.
KIKOSI cha Yanga kinaendelea kujiweka sawa kabla ya keshokutwa Ijumaa kuvaana na Singida Black Stars katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026, lakini mabosi wanajiandaa kuupokea ugeni mzito kutoka Ulaya. Ndio! Kama unakumbuka juzi kati Mwanaspoti lilikupa taarifa kwamba kocha mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves ameachiwa jukumu la kuamua ashushe straika gani…
AFCON 2025: Vita ya Nusu Fainali Yaiva Januari 9 na 10 – Global Publishers Home Habari AFCON 2025: Vita ya Nusu Fainali Yaiva Januari 9 na 10
UMEPITA mwezi mmoja tu tangu ilipopigiwa Dabi ya Mzizima Ligi Kuu Bara, ambapo ilishuhudiwa Simba ikipasuliwa kwa mabao 2-0 na Azam FC. Na leo usiku inapigwa mechi nyingine ya dabi hiyo, lakini ni katika mechi ya nusu fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, mjini Unguja. Lakini, kama…
SIMBA katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inayofanyika Zanzibar, ilianza hatua ya makundi na clean sheet ikishinda 1-0 dhidi ya Muembe Makumbi City, lakini ikajikuta ikishindwa kulinda lango lake mbele ya Fufuni licha ya kufuzu nusu fainali. Aliyeitibulia Simba ni mshambuliaji wa Fufuni, Mboni Stephen Kibamba baada ya kuitanguliza timu hiyo kwa bao la…
KIUNGO mshambuliaji wa Silver Strikers ya Malawi, Uchizi Vunga ameziingiza vitani Singida Black Stars na TRA United ambazo zinawania saini yake. Uchizi ni kiungo ambaye alionyesha ubora dhidi ya Yanga kwenye mechi za hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika na kuibuka gumzo kutokana uwezo aliouonyesha. Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Singida Black Stars…
DAKIKA nane alizocheza beki Attohoula Yao zimetosha kumtoa chozi daktari wa viungo wa Yanga, Youssef Ammar aliyedai sababu ya chozi lake kuwa haikuwa rahisi kumrudisha uwanjani na anamuona akirudi kwa ubora mkubwa. Yao ambaye amekaa nje kwa zaidi ya miezi saba, alipata nafasi ya kucheza kwa mara ya kwanza kwenye mchezo dhidi ya TRA United…
Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari mjini New York, Ghulam Isaczai alizungumza kuhusu mabadiliko kutoka kwa Ujumbe wa muda mrefu wa Umoja wa Mataifa wa Misaada kwa ajili ya Iraq (UNAMI), ambayo ilihitimisha mamlaka yake mwezi Desemba, kwa ushirikiano na mamlaka za kitaifa zilizojikita katika maendeleo. “Kwa wale walioishi katika miaka ya mwanzo yenye matatizo…