January 10, 2026
Haya hapa matokeo ya kidato cha pili 2025
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili.
Matokeo ya kidato cha pili, darasa la nne 2025 haya hapa
Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili.
CCM KUFANYA MAPITIO SHERIA IDADI NYUMBA ZINAZOPASWA KUSIMAMIWA NA MABALOZI
-Lengo ni kuwapunguzia mzigo wakati wa kutekeleza majukumu yao Na Said Nwishehe,Michuzi TV KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ameeleza kuwa Chama hicho kitafanya mapitio ya sheria kuhusu idadi ya nyumba zinazopaswa kusimamiwa mabalozi Ili kuwapunguzia mzigo wakati wa kutekeleza majukumu yao. Dk.Migiro ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa mashina wa…
TAZAMA MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI , DARASA LA NNE 2025
Bofya hapa Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog
Trump Atangaza Msimamo Mkali Greenland Lazima Ichukuliwe
Trump Atangaza Msimamo Mkali Greenland Lazima Ichukuliwe – Global Publishers Home Habari Trump Atangaza Msimamo Mkali Greenland Lazima Ichukuliwe
Benki ya NBC Yang’ara Tuzo za Mwajiri Bora Programu ya Mafunzo kwa Vitendo
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo imepokea tuzo ya Mwajiri Bora katika Programu ya Mafunzo kwa Vitendo (Internship Program) kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano kupitia Kitengo cha Huduma za Ajira ikiwa ni utambuzi wa jitihada za benki hiyo katika kuwapatia fursa za ‘Internship’ na kuwaajiri wahitimu kutoka vyuo vikuu mbalimbali…
NAIBU WAZIRI OFISI YA RAIS -UTUMISHI ATOA RAI KWA WANANCHI ARUMERU KUILINDA MIRADI YA TASAF
Na Mwandishi Wetu,Arusha. NAIBU Waziri Ofisi ya Rais-Utumishi, Regina Qwaray,amewataka wananchi wa Wilaya ya Arumeru walionufaika na miradi iliyojengwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jami (TASAF), kuilinda kwa wivu mkubwa miradi hiyo ili idumu kwa muda mrefu na kuwapa huduma nnafuu. Ametoa raia hiyo jana alipotembelea miradi ya mfereji wa umwagiliaji maji katika Kata ya…
Kile ambacho Marekani kujitoa kwenye mashirika ya Umoja wa Mataifa kunaweza kumaanisha kwa hali ya hewa, biashara na maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni
Ijumaa, Januari 09, 2026 Habari za Umoja wa Mataifa Nia ya Marekani ya kujiondoa katika mashirika mengi ya Umoja wa Mataifa iliyotangazwa wiki hii inalenga programu na mipango inayozingatia maeneo mbalimbali muhimu, ikiwa ni pamoja na mgogoro wa hali ya hewa, biashara, jinsia na maendeleo. Wakati Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric taarifa Waandishi…