WAFANYABIASHARA 500 WAPATIWA MAFUNZO YA UNUNUZI WA UMMA DAR
Mkurugenzi Mkuu wa PPRA, Dennis Simbaali Akizungumza wakati wa mafunzo maalum ya ununuzi wa umma yaliyoendeshwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA). ::::::::::: Wafanyabiashara wapatao 500 jijini Dar es Salaam wameshiriki mafunzo maalum ya ununuzi wa umma yaliyoendeshwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Ununuzi wa Umma (PPRA). Mafunzo hayo ni sehemu ya…