Steve Barker atoa maagizo mazito Simba

BAADA ya kukaa na kikosi kwa takribani siku kumi na kucheza mechi tatu za Kombe la Mapinduzi 2026, Kocha Mkuu wa Simba, Steve Barker ametoa maagizo mazito kwa uongozi katika ishu nzima ya kuboresha kikosi kinachojiandaa kwa mechi za Ligi Kuu Bara na Ligi y Mabingwa Afrika. Barker alitambulishwa na Simba Desemba 19, 2025 akichukua…

Read More

Yanga yafunga usajili na nyota watano

KAMA haitatokea dharura basi tambua kwamba Yanga imefunga rasmi usajili kupitia dirisha hili dogo ikiingiza mashine tano ikigusa idara zote kasoro eneo la makipa tu, huku taarifa tamu kwa mashabiki wa klabu hiyo ni nyota mpya kutoka Uganda, Allan Okello anayetarajiwa kuiwahi fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026. Yanga imefunga hesabu ikiingiza viungo Mohamed Damaro…

Read More

Kali nne za Mapinduzi Cup 2026

KESHO Jumanne, ile safari ya takribani siku 17 katika michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026 inakwenda kuhitimishwa kwa kupigwa mechi ya fainali. Ni mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa pale Azam itakapocheza dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Gombani kisiwani Pemba. Mechi hii inazikutanisha timu mbili ambazo kila moja ina sifa yake. Azam ni bingwa wa…

Read More

Ujumbe wa kutafuta ukweli unaitaka Iran kukomesha vurugu za maandamano na kurejesha mtandao – Masuala ya Ulimwenguni

Katika taarifa ya habari iliyotolewa Jumamosi, The Ujumbe Huru wa Kimataifa wa Kutafuta Ukweli kuhusu Iran ilisema imeshtushwa na ripoti za kuaminika kwamba vikosi vya usalama vimeagizwa kutekeleza “maamuzi” msako bila kizuizi, kama maandamano yaliingia wiki ya tatu. Mtandao na miunganisho ya simu zilizimwa jioni ya tarehe 8 Januari, na hivyo kuzuia kwa kiasi kikubwa…

Read More