Mapya yaibuka aliyeua watoto watatu wa familia moja

Mbeya. Siku moja baada ya Polisi Mkoa wa Mbeya kueleza kuwa wanamshikilia Dotto Lubogeja (22) kwa tuhuma za kuwaua watoto watatu wa familia moja, taarifa mpya kuhusu tukio hilo zimeibuka, ikiwemo simulizi ya jinsi mtuhumiwa huyo alivyoawa na wananchi. Jeshi la Polisi, kupitia taarifa yake, lilisema mtuhumiwa huyo aliwanyonga watoto hao watatu ambao ni Petro…

Read More

Usiwe kama wale wakoma tisa, chagua kuwa na shukurani kwa Mungu

Bwana Yesu asifiwe, karibu kwenye somo la leo Jumapili lenye kichwa kinachosema ‘Usiwe kama wale wakoma tisa’. Msingi wa somo letu linapatikana: Luka 17:11–19 “Je, wale waliotakaswa hawakuwa kumi? Wako wapi wale tisa? Hakupatikana mtu aliyerudi kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?” (Luka 17:17–18) Yesu alipokuwa akisafiri kuelekea Yerusalemu, alikutana na wanaume kumi waliokuwa na ugonjwa…

Read More

Maeneo anayoweza kuwekeza mwenye kipato cha kawaida

Dar es Salaam. Kadri gharama za maisha zinavyozidi kupanda na mfumuko wa bei kuendelea kuathiri thamani ya fedha, wataalamu wa uchumi na masuala ya kifedha wanawashauri Watanzania kubadili mtazamo wao kuhusu biashara na uwekezaji. Wanasema, katika mazingira ya sasa ya kiuchumi, uwekezaji si tena fursa ya matajiri pekee, bali ni nyenzo muhimu ya kujenga usalama…

Read More

Mbunge Halima Idd afariki dunia akipatiwa matibabu

Dar es Salaam. Mbunge viti maalumu aliyekuwa akiwakilisha kundi la Wafanyakazi wa Sekta binafsi na Umma, Halima Idd amefariki dunia leo  Jumapili, Januari 18, 2026 akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, jijini Dar es Salaam. Taarifa za kifo hicho zimetolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano…

Read More