MAHUBIRI: Mshirikishe Mungu kujitoa maagano yanayoleta uharibifu
Bwana Yesu Kristo asifiwe karibu popote ulipo katika tafakari ya neno la Mungu. Tunapouanza mwaka ni muhimu uwe na masomo ya msingi ambayo yatakusaidia katika kipindi cha mwaka mzima ili uweze kuyatimiza malengo ambayo umejiwekea. Somo la leo linaeleza namna unavyotakiwa kumshirikisha Mungu ili kujitoa kwenye maagano ya giza uliyoingia kwa kujua au kutokujua kisha…