Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mkoani Dar es salaam Albert Msando akizungumza wakati wa zoezi la usafi katika Kata ya Goba jijini Dar es salaam sambamba na uzinduzi wa Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha Pendezesha Ubungo (KAUSAPEU)
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mkoani Dar es salaam Albert Msando akishiriki zoezi la usafi katika Kata ya Goba jijini Dar es salaam sambamba na uzinduzi wa Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha Pendezesha Ubungo (KAUSAPEU) ambalo limefanyika leo tar 31/1/2026
Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti wa Taka Ngumu na Usafishaji Manispaa ya Ubungo Lawi Bernard akizungumza wakati wa zoezi la usafi katika Kata ya Goba jijini Dar es salaam sambamba na uzinduzi wa Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha Pendezesha Ubungo (KAUSAPEU) ambalo limefanyika leo tar 31/1/2026
Mstahiki Meya Manispaa ya Ubungo Laurent Mlaki akizungumza wakati wa zoezi la usafi katika Kata ya Goba jijini Dar es salaam sambamba na uzinduzi wa Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha Pendezesha Ubungo (KAUSAPEU) ambalo limefanyika leo tar 31/1/2026
Baadhi ya wadau mbalimbali walioshiriki kwenye zoezi la usafi katika Kata ya Goba jijini Dar es salaam sambamba na uzinduzi wa Kampeni ya Kataa Uchafu Safisha Pendezesha Ubungo (KAUSAPEU) ambalo limefanyika leo tar 31/1/2026
…………







