SAMIA LEGAL AID KURUDISHA TABASAMU LA WANANCHI.
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha. Msaada wa kisheria wa Samia Legal Aids umeahidi kurudisha tabasamu kwa wananchi kwa kuwapatia msaada wa kisheria katika migogoro inayowakumba hadi pale ufumbuzi unapopatikana. Akizungumza katika mkutano wa wanasheria kutoka sekretarieti za mikoa wanaotoa msaada wa kisheria kutoka SAMIA LEGAL AIDS nchi nzima, Mkurugenzi wa sheria ofisi ya Waziri…