Mapya yaibuka maiti iliyofukuliwa Dodoma
Dodoma. Kaburi la marehemu Peter Kanyamala (85), mkazi wa Mtaa wa Mbalawala jijini Dodoma limefukuliwa na watu wasiojulikana wiki mbili baada ya kuzikwa na uchunguzi wa mwili wake umebaini kuwa sehemu ya nyama ilikatwa chini ya titi la kushoto. Marehemu Kanyamala alifariki dunia Januari 15, 2026, baada ya kugongwa na gari jijini Dar es Salaam,…