RC TANGA AIPONGEZA SAADANI, ATANGAZA MKAKATI WA KUITANGAZA KITAIFA
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dkt. Batilda Buriani, amepongeza uongozi wa Hifadhi ya Taifa ya Saadani kwa kuwa na mazao mengi ya utalii, ikiwemo utalii wa mikutano, unaozivutia taasisi, mashirika na Halmashauri kufanya mikutano yao katika ukumbi uliopo pembezoni mwa fukwe za Bahari ya Hindi ndani ya hifadhi hiyo. Akizungumza katika Mkutano wa Baraza la…