Nishati mbadala yatajwa kuwa suluhu ya uharibifu wa mazingira

Tabora. Matumizi ya nishati mbadala yameendelea kutajwa kuwa suluhu ya kudumu ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira na changamoto za kiafya zinazotokana na matumizi ya nishati isiyo rafiki kwa mazingira, huku wadau wakihimizwa kuwekeza na kuhamasisha matumizi yake kwa wananchi. Katika muktadha huo, washiriki wa kozi ya 14 kutoka Chuo cha Taifa cha Ulinzi Tanzania…

Read More

Makonda awataka watendaji wizarani kukaa sawa, kufunga mkanda

Dodoma. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amewataka watenda wa wizara hiyo kujipanga vizuri na kujifunga mkanda katika kutekeleza majukumu yao, kwani hatakuwa tayari kumvumilia mtumishi atakayeshindwa kwenda na kasi yake. Makonda amesema hayo saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kumwapisha Ikulu ya Chamwino, Dodoma leo Jumane, Januari 13, 2026…

Read More

Simanjiro yafanya mageuzi ya kilimo

Simanjiro. Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, imejipanga kuhakikisha inafanya mageuzi makubwa katika mazao ya kilimo na mifugo ili wakazi wa eneo hilo wapate tija zaidi kiuchumi. Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro, Fakii Lulandala ameeleza hayo Januari 13, 2026 kwenye kongamano la kilimo linalofanyika mji mdogo wa Orkesumet Lulandala amesema Simanjiro ina maeneo makubwa ya kilimo…

Read More

Uganda yazima intaneti kuelekea uchaguzi mkuu, VPN marufuku

Uganda. Serikali ya Uganda imeziagiza kampuni za mitandao ya simu, wenye leseni pamoja na watoa huduma zinazohusiana na huduma hizo nchini humo kuzima intaneti. Sambamba na hatua hiyo pia imeagiza kusitiza za simu za kimataifa kuanzia leo Jumanne Januari 13, 2026 ikiwa ni siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu unatotarajiwa kufanyika Alhamisi wiki hii. Katika barua…

Read More

Rais Mwinyi auzindua rasmi Uwanja wa Gombani

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi Zanzibar, leo Januari 13, 2026 amezindua rasmi viwanja vya michezo vya Gombani vilivyopo Wilaya ya Chake Chake katika mkoa wa Pemba Kusini. Katika uzinduzi huo, Dk Mwinyi ameongozana na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) akiwamo Makamu wa Pili…

Read More

Jaji Masaju ataja vikwazo utoaji haki Tanzania

Dodoma/Moshi. Wakati utoaji wa haki kwenye mahakama nchini ukilalamikiwa, Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju ametaja mambo manane anayoyataka yapatiwe ufumbuzi ili kuufanya mhimili huo kuwa huru na usioingiliwa katika utoaji haki. Miongoni mwa mambo aliyoyataja Jaji Masaju ni usalama katika ajira za majaji na mahakimu, maboresho ya mishahara na stahiki zao, urahisi…

Read More

Simba, Singida Black Stars kuna kitu kinaendelea

UONGOZI wa Simba upo katika mazungumzo na Singida Black Stars kwa ajili ya huduma ya beki wa kushoto, Nickson Kibabage ili asaidiane na Antony Mligo ambaye alijiunga na kikosi hicho mwanzo wa msimu akitokea Namungo FC. Mligo alijiunga na Simba kuziba nafasi ya Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ inaelezwa kuwa licha ya kuingia kikosini moja kwa moja…

Read More

TMA YABAINISHA NJIA RASMI ZINAZOTUMIKA KATIKA USAMBAZAJI WA TAARIFA ZA HALI YA HEWA.

………… Zanzibar TMA imebainisha njia rasmi zinazotumika katika kusambaza taarifa za hali ya hewa nchini. Hayo yamezungumzwa na Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Ofisi ya Zanzibar, Ndg. Masoud Makame Faki alipokuwa anazungumza na wananchi kupitia vyombo mbalimbali vya habari kwa lengo la kuwakaribisha kutembelea banda la TMA lililopo kwenye Maonesho ya…

Read More