Utafiti wabaini wanaume kuhusika na bakteria ukeni

Dar es Salaam. Wakati tatizo la bakteria ukeni likiwasumbua wanawake wengi, utafiti umebaini kuwapo uwezekano mkubwa kwa mwanamume kubeba bakteria hao na kusababisha madhara kwa mwanamke atakayejamiiana naye. Utafiti uliochapishwa na Jarida la Tiba la The New England Journal of Medicine (NEJM), umebadili mtazamo wa muda mrefu wa kitabibu kuhusu Bacterial Vaginosis (BV) na maambukizi…

Read More

Dk Migiro: Tusimame pamoja kulinda amani ya Taifa

Dar es Salaam. Wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Watanzania wametakiwa kuacha tofauti zao ili kuchochea amani na mshikamano wa kitaifa kwa maendeleo ya nchi. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha-Rose Migiro katika kikao kazi na viongozi na wanachama wa chama hicho, alipokuwa akihitimisha ziara yake mkoani Dar es Salaam. Katika…

Read More

Vodacom Yaendeleza Mpango wa Kapu la Vodacom Kupitia Kampeni ya “Back to School” Kusaidia Elimu Nchini

Vodacom Tanzania imeendeleza mpango wake wa Kapu la Vodacom kwa kuzindua msimu mwinginewa ‘Back to School’, hatua inayothibitisha dhamira ya muda mrefu ya kampuni katika kusaidia jamii kupitia elimu. Kupitia kampeni hii, Vodacom inalenga kuwasaidia wazazi na wanafunzi kurejea shuleni kwa kuwapatia mamia ya makapu ya vifaa vya shule (Kapu la Shule) kwa familia na…

Read More

Kesi ya ‘vigogo wa Kigamboni’ yakwama

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeshindwa kusikiliza ushahidi katika kesi ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni, inayowakabili washtakiwa 13, wakiwemo wakuu wa Idara wa Manispaa ya Kigamboni, kutokana na washtakiwa wawili kushindwa kuleta Mahakamani wakitokea gereza za Segerea. Kesi hiyo ilipangwa leo Jumanne Januari 13, 2026…

Read More

Pipino akutana na staa wa ndoto zake

NDOTO ya kiungo mkabaji Ahmed Bakari ‘Pipino’, kutamani kucheza timu moja na supastaa raia wa Uganda, Khalid Aucho inakwenda kutimia baada ya kusajiliwa na Singida Black Stars. Simba, Yanga na Azam FC msimu uliopita ziligonga mwamba kupata saini ya Pipino akiwa KMC, lakini imekuwa rahisi kwa Singida kumsainisha mkataba wa miaka mitatu na tayari kakutana…

Read More

Rais Samia aitwisha mzigo Mahakama Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati Taifa likielekea katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050, mhimili wa Mahakama una nafasi muhimu wa kujenga Taifa lenye haki, amani, usalama na utulivu. Rais Samia ameeleza hayo leo Jumanne Januari 13, 2026 wakati akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa siku mbili wa…

Read More

Yule Messi wa Simba yupo tayari kuliamsha

KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Simba, Azam FC na TP Mazembe, Ramadhan Singano ‘Messi’ amezungumzia kilichokuwa nyuma ya ukimya wake na utayari wa kurejea tena uwanjani ili kuweza kuendeleza kipaji chake. Singano amesema alipata changamoto ya kimkataba akiwa na TP Mazembe aliyokuwa amejiunga nayo 2019/20, baada ya mwaka jana kumalizika anaona anaweza akaendelea na mambo…

Read More