Bobi Wine atishia maandamamo akihujumiwa, aagiza kulinda kura Alhamisi
Uganda. Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Chama cha National Unity Platform (NUP) Robert Gyahulanyi maarufu Bobi Wine ameonya kuwa atatoa wito wa maandamano nchini Uganda iwapo Rais Yoweri Museveni atahujumu uchaguzi wa urais unaofanyika wiki hii. Uchaguzi Mkuu nchini humo unatarajiwa kufanyika Alhamisi wiki hii huku zaidi ya Waganda milioni 20 wakijiandaa kupiga kura, Bobi…