Serikali Yatangaza Ajira 142 NAOT kwa Fani Mbalimbali
Serikali Yatangaza Ajira 142 NAOT kwa Fani Mbalimbali – Global Publishers Home Ajira Serikali Yatangaza Ajira 142 NAOT kwa Fani Mbalimbali
Serikali Yatangaza Ajira 142 NAOT kwa Fani Mbalimbali – Global Publishers Home Ajira Serikali Yatangaza Ajira 142 NAOT kwa Fani Mbalimbali
Kesi hiyo iliyofanyika katika Ikulu ya Amani huko The Hague, inaashiria kuanza kwa awamu ya uhalali katika kesi hiyo, baada ya miaka mingi ya mabishano ya awali ya kisheria. Katika wiki tatu zijazo, ICJ majaji watasikiliza hoja za mdomo kutoka pande zote mbili, watachunguza mashahidi na wataalam, na kuzingatia kama Myanmar ilikiuka majukumu yake chini…
Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka – Global Publishers Home Michezo Brighton Wamaliza Mkataba na Mshambuliaji wa Tanzania Aisha Masaka
Anakaa kati ya timu ya lugha nyingi ya wenzake 40, wasemaji wa Kipashto, Dari, Kiajemi, Kiarabu, Kiurdu na Kiingereza, katika chumba kilichojaa vidhibiti na vipokea sauti vya sauti. Kila mwenzake ameunganishwa na maisha tofauti, hofu mpya, hadithi ya kipekee. Wengi wanaopiga simu ni wanawake, akina mama walio na watoto wadogo, wajane, wanawake wasioolewa ambao wamejenga…
Kwa kuungwa mkono na shirika la Umoja wa Mataifa la biashara na maendeleo, UNCTAD na washirika wengine, mpango wa “Zaidi ya Pato la Taifa” unakubali onyo kutoka Katibu Mkuu Antonio Guterres kwamba uundaji sera wa kimataifa unategemea zaidi data ya Bidhaa ya Ndani ya Dunia. “Kila siku, tunashuhudia matokeo ya kushindwa kwetu kuweka uwiano wa…
Na Mwandishi Wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu(NEC)ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenan Kihongosi amefanya kikao kazi na viongozi mbalimbali wa Chama hicho pamoja na wasanii wa Bendi ya TOT. Kihongosi amefanya kikao kazi hicho leo katika Ofisi ndogo za Chama Cha Mapinduzi(CCM) zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam ambapo katika kikao…
Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Neemarose Singo, mara baada ya kupokea tuzo ya Benki Bora ya Mwaka 2025 nchini Tanzania katika Tuzo za The Banker, zilizoandaliwa na jarida la Financial Times, kwenye hafla iliyofanyika jijini London, Uingereza hivi karibuni. Ameambatana na baadhi ya wafanyakazi wa benki hiyo na waandaaji wa…
::::::::: Dar es Salaam Serikali imetangaza kuwa kivuko cha MV Kazi kitaanza rasmi kutoa huduma kesho baada ya kukamilika kwa ukarabati wake, hatua inayolenga kurejesha usafiri wa uhakika kwa wananchi wanaotumia feri ya Kigamboni na Kivukoni. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA), Mosses Mabamba,…
Mashabiki wa Simba wameifutia aibu timu yao na kuipatia kombe baada ya muda mrefu kwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa kirafiki kuadhimisha miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Mchezo huo ambao umeandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, umechezwa leo Jumatatu Januari 12, 2025 kuanzia saa…
Na WAF, Dodoma Waziri wa afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo amekutana na wawekezaji wa vifaa tiba kutoka kampuni ya A to Z iliyopo nchini Tanzania waliojitokeza kwaajili ya kuunga mkono juhudi za serikali za kuinua sekta ya viwanda vya dawa nchini Akizungumza jijini Dodoma Januari 12, 2026 Waziri Mchengerwa ameahidi kuwepo kwa ushirikiano mkubwa baina…