RAIS DKT. MWINYI ATUNUKU NISHANI ZA MAPINDUZI KWA VIONGOZI NA WANANCHI WENYE SIFA MAALUM

…………. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametunuku Nishani ya Mapinduzi pamoja na Nishani ya Utumishi Uliotukuka kwa viongozi na wananchi mbalimbali wenye sifa maalum, waliotoa mchango mkubwa katika historia, maendeleo na ustawi wa Zanzibar. Akisoma Tamko la Kwanza la Kutunuku Nishani hizo, Katibu Mkuu wa Afisi…

Read More

Chukua Hatua Yako Kwenye Anga la Ushindi Na Super Heli

KARIBU kwenye dunia ya msisimko wa Super Heli. Meridianbet inakualika ujiunge na burudani isiyokoma huku ukichunguza nafasi zako za ushindi. Wiki mbili tu zimebaki hadi kilele cha promosheni hii, na kila sekunde inayopita inaongeza shauku na fursa zako za kushinda. Hii ni nafasi yako ya kupaa juu, kushinda, na kujipatia zawadi zisizopimika. Super Heli ni…

Read More

ACT-Wazalendo yawapiga msasa wabunge wake

Dar es Salaam. Chama cha ACT–Wazalendo kimewapiga msasa   wabunge wake wapya ili kujiandaa kutekeleza majukumu yao ya kuisimamia Serikali katika Bunge la Tanzania. Katika Bunge hilo la 13, linalotawaliwa na uwingi wa wabunge wa Chama cha Mapinduzi  (CCM),  ACT–Wazalendo itawakilishwa na wabunge wanane, kati ya wabunge 11 wa Vyama vya upinzani huku wanaobakia wakitoka Chama…

Read More

Wananchi waeleza adha siku sita bila kivuko cha Mv Kazi

Dar es Salaam. Wakati Kivuko cha ‘Mv Kazi’ kikiwa kimefikisha siku sita bila kufanya kazi, wananchi wa Kigamboni wameeleza adha wameipata kutokana na hali hiyo. Wananchi wamesema hayo leo Jumatatu Januari 12, 2026 baada ya Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (Temesa), Moses Mabamba, kueleza kutarajiwa kuanza tena kazi kwa kivuko…

Read More