BANK OF AFRICA TANZANIA ILIVYOSHIRIKI WIKI YA HUDUMA ZA KIFEDHA KITAIFA
BANK of Africa Tanzania (BoA) imeshiriki katika maadhimisho ya wiki ya Huduma ya Kifedha yaliyoandaliwa na Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango yaliyofanyika katika viwanja vya Usagara vilivyopo jijini Tanga. Yakiwa na kauli mbiu isemayo “Elimu ya Fedha, Msingi wa Maendeleo ya Kiuchumi,” malengo makuu ya maadhimisho hayo yalikuwa ni kuongeza uelewa, kuboresha ufahamu…