Aliyeitungua Simba, aibukia Singida Black Stars

KLABU ya Singida Black Stars, imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Fufuni ya Pemba, Mboni Stephen Kibamba ambaye aliitungua Simba katika mechi ya makundi katika Kombe la Mapinduzi 2026. Mshambuliaji huyo ambaye ni kinara wa mabao katika Ligi Kuu ya Zanzibar msimu huu akihusika na mabao 16 katika mechi 15, akifunga 10 na asisti sita, anatua…

Read More

Enzi Yetu Mpya ya Ukoloni – Masuala ya Ulimwenguni

‘Jukumu la Umoja wa Mataifa la kuwasilisha’ halitayumba, baada ya Marekani kutangaza kujiondoa kutoka kwa mashirika kadhaa ya kimataifa. Credit: UN Photo/Loey Felipe Maoni na Azza Karam (new york) Jumatatu, Januari 12, 2026 Inter Press Service Rais wa Lead Integrity na Mkurugenzi wa Occidental College’s Kahane UN Program. NEW YORK, Januari 12 (IPS) – Tunaishi…

Read More

 Miaka 62 ya Mapinduzi, nongwa, ubaguzi, shuruti ya uzalendo

Wito ulioijengea ushawishi agenda ya Mapinduzi Zanzibar, Januari 12, 1964, ulikuwa kuwaondoa Waarabu kwenye utawala, nyuma ya matamshi yaliyonadiwa ndani ya kampeni ya kumfukuza Sultan. Kwamba, Waarabu waachie madaraka, Wazanzibari asilia wajitawale. Changamoto ambayo imebaki kuwa urithi (legacy) kuhusu Mapinduzi ni tafsiri. Wazanzibari wenye Upemba mwingi, tafsiri yao ya kiimani ni kuwa Unguja iliipindua Pemba….

Read More

Biashara ya viungo vya sehemu za siri inavyochochea ukeketaji – 1

Musoma. Uwepo wa biashara ya siri ya viungo vya binadamu vinavyotokana na ukeketaji umeongeza ugumu wa kutokomeza mila hiyo potofu nchini Tanzania, licha ya kuwapo sera, sheria na kanuni zinazoipiga marufuku. Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika Wilaya za Butiama, Tarime na Serengeti, mkoani Mara, umebaini imani za kishirikina ndizo huchochea biashara ya siri inayohusisha uuzaji…

Read More