Bandari ya Pemba kufungua zaidi milango ya utalii
Na Mwandishi Wetu PEMBA Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Pemba ina vivutio vingi vya utalii hivyo ujenzi wa Bandari yaMkoani, Pemba itafungua zaidi milango katika sekta mbalimbali. Mhe. Masauni amesema, Bandari ya Mkoani ni kiunganishi na muhimili wa maisha ya kila siku ya…