Malkia asimulia Waluguru walivyotumia mawe kujilinda
Morogoro. Waluguru ni miongoni mwa makabila yaliyothamini amani, utulivu na mshikamano lakini walipokabiliwa na maadui hawakusita kujilinda kwa mbinu za jadi ikiwemo adui king’ang’anizi kumporomoshea mawe. Akizungumza na mwananchi leo Januari 11. 2026 katika tambiko la jadi mjini hapa, Malkia wa akina mama wa kabila la Waluguru, Wamingila Shilingimbili amesema wazee wao walikuwa wakikimbilia juu…