Askofu ataka jamii ishirikiane kutokomeza chanzo cha watoto wa mitaani

Geita. Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kasala amesisitiza umuhimu wa jamii kuendelea kushirikiana katika kujiepusha na kuzuia vyanzo vinavyosababisha ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu ambao hukosa msaada na hatimaye kutapakaa mitaani. Ametoa wito huo katika hafla ya Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) iliyokuwa inatoa msaada wa Sh50 milioni katika…

Read More

Program ya mafunzo yaiwezesha NBC kutwaa tuzo

Dar es Salaam. Ikiwa ni kutambua mchango mkubwa katika kuwapatia wahitimu wa vyuo vikuu fursa za mafunzo ya uzoefu wa kazi na ajira, Benki ya NBC imeibuka kinara kwa kutunukiwa Tuzo ya Mwajiri Bora katika Programu ya Mafunzo kwa Vitendo. Tuzo hiyo imetolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano kupitia Kitengo cha…

Read More

Trident yagoma kumuachia Sichone | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI kinda wa Kitanzania, Mourice Sichone yupo kwenye mvutano baada ya klabu anayoitumikia Trident FC ya Zambia kukataa kumuachia, huku mchezaji huyo akionyesha nia ya kurejea nyumbani Tanzania. Kinda huyo (18) alisajiliwa katika dirisha dogo msimu uliopita akitokea Mpulungu Harbour FC ya nchini humo alikocheza mechi 12 na kuhusika katika mabao tisa akifunga manne na…

Read More

Saa tatu Hersi alivyokamilisha dili la Okello Yanga

UHAKIKA ni kwamba Yanga itakuwa na kiungo mpya, Allan Okello, msimu huu baada ya dili lake kukamilika zikitumika saa tatu kupambana kuhakikisha kuwa mambo yanakuwa sawa. Okello anaichezea Vipers ya Uganda. Rais wa Yanga, Hersi Said ambaye ametumia siku moja wiki hii kwenda Uganda kumaliza dili hilo kisha akarudi fasta Unguja, Zanzibar, kushuhudia timu hiyo…

Read More

Simba SC yazoa mmoja Mamelodi

UONGOZI wa Simba uko katika hatua za mwisho za kumuongeza kwenye benchi la ufundi kocha wa timu ya vijana chini ya miaka 19 ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini, Kristopher Charles Bergman, ili akaungane na Kocha Mkuu, Steven Robert Barker. Barker, raia wa Afrika Kusini aliyetambulishwa kuiongoza timu hiyo Desemba 19, 2025, akichukua nafasi ya…

Read More

Tchakei achomolewa Yanga, sababu yatajwa

LICHA ya kutajwa kumalizana na Yanga, kiungo mshambuliaji raia wa Togo, Marouf Tchakei, anarejea Singida Black Stars baada ya mpango wa kujiunga timu hiyo ya Jangwani kwa mkopo kugonga mwamba katika dakika za mwisho. Tchakei ambaye alikuwa amejiunga na Yanga na kutumika katika mechi moja ya mashindano Zanzibar hatakuwa sehemu ya kikosi hicho ikielezwa kuna…

Read More

Brighton & Hove Albion kuachana na Aisha Masaka

KLABU ya Brighton & Hove Albion inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini England haitaendelea na mshambuliaji wa Kitanzania, Aisha Masaka, msimu ujao baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu huu. Tangu ajiunge na timu hiyo msimu WA 2023/24 akitokea BK Hacken ya Sweden nyota huyo alicheza mechi mbili  kwa dakika 14 dhidi ya Arsenal…

Read More

ANTI BETTY: Bibi wa mke wangu mchawi, nipe mbinu anielewe

Nimeoa mke ambaye wazazi wake walifariki akalelewa na bibi ambaye tunaishi naye kutokana na umri wake na hakuwa na watoto wengine zaidi ya mama yake ambaye amefariki.  Tulipata watoto watatu wawili wakafariki kiajabu ajabu tu mmoja alitapika mara moja kurudia mara ya pili anapika damu na kufariki papo hapo.  Taarifa zilizopo kutoka kwa ndugu wa…

Read More

Bibi wa mke wangu mchawi, nipe mbinu anielewe

Nimeoa mke ambaye wazazi wake walifariki akalelewa na bibi ambaye tunaishi naye kutokana na umri wake na hakuwa na watoto wengine zaidi ya mama yake ambaye amefariki.  Tulipata watoto watatu wawili wakafariki kiajabu ajabu tu mmoja alitapika mara moja kurudia mara ya pili anapika damu na kufariki papo hapo.  Taarifa zilizopo kutoka kwa ndugu wa…

Read More