UDSM Yajipanga Kubadili Mitaala Kuendana na Soko la Dunia
Na Khadija Kalili, Kibaha CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimeanza maandalizi ya kuboresha mitaala yake ili iendane na mahitaji ya soko la ajira la kimataifa, hatua inayolenga kuwawezesha wahitimu wake kuajiriwa ndani na nje ya nchi. Hatua hiyo inakuja kupitia mafunzo ya siku mbili yanayotolewa na Mkuu wa Shule ya Biashara ya Chuo…