Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji – Video
Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji – Video – Global Publishers Home Michezo Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji – Video
Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji – Video – Global Publishers Home Michezo Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji – Video
::::::::: Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne ambapo ufaulu umepanda kwa asilimia 2.67 na asilimia 88 ya wanafunzi wamefaulu na kidato cha pili. Matokeo yametangazwa leo Januari 10, 2026 na Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Dk Said Mohamed, mbele ya waandishi wa habari jijini Dar…
:::::::: Waziri Mstaafu wa Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais – Ikulu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa ameipongeza Chemba ya Taifa ya Biashara Tanzania (TNCC) kwa uongozi wake wenye mwelekeo chanya na mchango wake mkubwa katika kukuza biashara na diplomasia ya kiuchumi kupitia Maonesho ya 12 ya Biashara ya Kimataifa ya…
:::::::: Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said S. Mussa, ametembelea Maonesho ya 12 ya Biashara Zanzibar (ZITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Nyamanzi, Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar. Balozi Mussa alipokelewa katika banda la Wizara ya Mambo…
Kiini cha mabadiliko: Spotlight Initiative inaangazia mafanikio katika kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia Linapokuja suala la kuwalinda wanawake na wasichana dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia, mabadiliko hutokea wanapokuwa “kiini cha kila uamuzi,” kulingana na Erin Kenny, Mratibu wa Kimataifa wa Mpango wa Spotlight wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya unaolenga kukabiliana na aina…
::::::: Wasanii nguli wa nyimbo za Injili kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuungana na waimbaji wa Nyimbo za Injili hapa nchini kutumbuiza katika Tamasha la Pasaka ambalo huandaliwa na kuratibiwa na Kampuni ya Msama Promotions ambapo kwa msimu huu linatarajiwa kufanyika kwa mikoa 20 likianzia na Mkoa wa Dar es Salaam. Mapema akizungumza na waandishi wa…
:::::::: MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) Dkt. Aneth Komba amesema, TET imejipanga kuhakikisha shule zote za Serikali zinafikiwa na vitabu kabla hazijafunguliwa. Dkt. Komba ameyasema hayo leo Januari 10, 2026 alipotembelea ghara la TET la kuhifadhia vitabu vya kiada lililopo Mikocheni Jijini Dar es Salaam. Amesema, tayari Serikali imechapa vitabu ya madarasa…
::::::::::: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema TRA itaendelea kupambana na watu wote wanaojihusisha na vitendo vya ukwepaji wa kodi kwa kudhibiti mianya inayotumika kukwepa kodi. Akiahirisha kikao cha tathmini ya utendaji kazi wa TRA kwa kipindi cha nusu mwaka wa fedha 2025/2026 kilichofanyika kwa muda wa wiki…
Tanzania imemaliza katika nafasi ya 11 kwenye mashindano ya dunia ya mbio za nyika zinazoendelea Tallahassee, Florida nchini Marekani kwa upande wa relay mchanganyiko, huku Australia ikitwaa medali ya dhahabu baada ya kuibuka mshindi. Katika mbio hizo Tanzania ilikuwa inaundwa na wanariadha Daniel Sinda, Elizabeth Ilanda, Ambrosi Amma na Regina Mpigachai ambapo imemaliza kwa muda…
Mwanza. Serikali imewataka wazabuni, wakandarasi na watoa huduma wa ndani ya nchi kutekeleza kwa viwango vya juu na ubora miradi ya umma wanayopewa ili iwasaidie kuwajenga, kuwatangaza na kuwapa uwezo wa kuchangamkia na kushindania zabuni za kimataifa ili kukuza biashara na maendeleo ya nchi. Ili kutimiza hilo, wazabuni hao wametakiwa kutumia vyema mafunzo ya kuwajengea…